Mnadhani kwa huu mpango kabambe wa viongozi wa Yanga utaacha kuleta lawama na makelele kwa watu makini kama Mimi na wengineo?

Si ndio maana mashirika na biashara zinakufa daily kwa roho kama hizi za kishirikina
Hizi team huwa zipo TU na hazizalishi chochote zaidi ya hasara na hii ni kwa soka lote la afrika ukiondoa kule Egypt na Morroco ndio maana kati ya vitu wazungu hawathubutu ni kuwekeza kwenye michezo afrika maana Haina faida
Anakuja mtu anatake risk Kisha yanainuka majungu ya ajabu ajabu na vita zisizo na kichwa Wala miguu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…