Kwa ustawi wa familia mnadili vipi na mwanamke wa hivi?
Imeandikwa wapiTunadili naye kwa kuzingatia kiapo cha ndoa cha kuishi katika shida na raha hadi kifo kitutenganishe.
Moyoni mwa kila mwanandoa.Imeandikwa wapi
Kama huja muoa muacha usije kuja kutuulia dada etu baadae ....tafuta anae kufaaa.....kama umemuoa wewe si kichwa cha nyumba mfundishe taaritibu bila kuchokaKichwa cha habari chahusika.
-Hamna mpangilio wa ratiba ya nini akifanye kwa muda gani
-Anasema jambo lenye kuhitaji utatuzi bila kufafanua kama vile anayeambiwa yupokwenye akili yake
-Hazingatii alicho nacho hadi kinapitwa na muda wake wa matumizi na kusababisha hasara
-Akiambiwa kitu hakijakaa sawa anahisi kuonewa na kulalamika ilihali yeye ndio muhusika
Kwa ustawi wa familia mnadili vipi na mwanamke wa hivi?
Kubali tu umeyatimba.Anasema jambo lenye kuhitaji utatuzi bila kufafanua kama vile anayeambiwa yupokwenye akili yake
Mkuu; hii comenti ni nzuri mno ; inafaa kutumika kwa mafunzo kabla ya kufunga ndoa.Kubali tu umeyatimba.
Ulitumia hisia wakati unaanzisha mahusiano hukuangalia sifa zingine.
Mfano: Akili yake, uwezo wa kujieleza, n.k.
Jikaze kiume vumilia haupo peke yako kati ya watu wenye mizigo mizito majumbani mwao.
kuelekezana na kusikilizana halafu kutekeleza hayo mlioelekezana ni sehemu ya shida na raha. sasa yasipotekeleza si inakuwa tena zaidi ya shidaTunadili naye kwa kuzingatia kiapo cha ndoa cha kuishi katika shida na raha hadi kifo kitutenganishe.
kuna mambo ambayo ni ya msingi, hata yeye anajua ni msingi ila ukimwambia anaonesha kutotekeleza, sasa hapo kisirani chake mbona kiko tofauti na changu ambacho kinatambua mambo ya msingiukiona mwenzio ni kisilani wewe ni kisilani part 2
mtie mimba tu,Kichwa cha habari chahusika.
-Hamna mpangilio wa ratiba ya nini akifanye kwa muda gani
-Anasema jambo lenye kuhitaji utatuzi bila kufafanua kama vile anayeambiwa yupokwenye akili yake
-Hazingatii alicho nacho hadi kinapitwa na muda wake wa matumizi na kusababisha hasara
-Akiambiwa kitu hakijakaa sawa anahisi kuonewa na kulalamika ilihali yeye ndio muhusika
Kwa ustawi wa familia mnadili vipi na mwanamke wa hivi?