Mnadili vipi na mwanamke ambaye ni careless

Mnadili vipi na mwanamke ambaye ni careless

ana kitu inaitwa perfection sense [emoji205]

ati hafanyagi makosa na wala hakosei, yupo sahihi always. ati wew ndie unashida unamfatilia sana ama unajidai sana kwa vile umesoma na unapesa [emoji851]

suluhu ni kumpatia na kumuongezea majukumu yake ya uzazi na malezi tu [emoji205]

Aisee hapa umepatia kabisa kumuelezea, mara nyingi anaweza kutoa maneno kuashiria ananyanyaswa kwa kitu kidogo tu ambacho ni jukumu la mwanamke kwenye nyumba yake.
 
Na wanawake wa aina hii hata kutandika kitanda hawawezi, wanamuachia house girl. Pia kufua chupi za mumewe anampa house girl afue. Wana shida kubwa sana.
Hahahaaa, ila huyu hajafikia huko labda nikiwa sipo ndio afanye, nishatoa mipaka kuhusu nini ambacho haipaswi kufanywa na housegirl
 
Aisee hapa umepatia kabisa kumuelezea, mara nyingi anaweza kutoa maneno kuashiria ananyanyaswa kwa kitu kidogo tu ambacho ni jukumu la mwanamke kwenye nyumba yake.
anajaribu kudevelop imotions na inferiority complex ambazo ni useless kabisaa, akat wewe as head of the family you are working hard with no rest, to put your family in order unakutana na setbacks za ajabu, aise 🐒

hata hivyo,as a bold and wise man take it easy, focus on your priorities, kwa neema na baraka za Mungu, hiyo hali itapungua na kwisha kabisaa..
Ni ka upepo flani tu ka muda 🐒
 
Kichwa cha habari chahusika.

-Hamna mpangilio wa ratiba ya nini akifanye kwa muda gani

-Anasema jambo lenye kuhitaji utatuzi bila kufafanua kama vile anayeambiwa yupokwenye akili yake

-Hazingatii alicho nacho hadi kinapitwa na muda wake wa matumizi na kusababisha hasara

-Akiambiwa kitu hakijakaa sawa anahisi kuonewa na kulalamika ilihali yeye ndio muhusika

Kwa ustawi wa familia mnadili vipi na mwanamke wa hivi?
muue
 
kipindi cha mahusiano kwa asilimia kubwa huwa ni sanaa, kila mtu huficha madhaifu yake ila mkiingia ndoani ndio mtajua rangi zenu halisi. wengi ni mashahidi wa hili
Ndio maana wataalamu wanashauri mgegedane kwanza kwa miaka kama 5 hivi msomane vizuri kabla ya kuoana. Wanawake ni viumbe wa ajabu sana. Usiwe mwepesi kuwaamini mkuu.
 
Kichwa cha habari chahusika.

-Hamna mpangilio wa ratiba ya nini akifanye kwa muda gani

-Anasema jambo lenye kuhitaji utatuzi bila kufafanua kama vile anayeambiwa yupokwenye akili yake

-Hazingatii alicho nacho hadi kinapitwa na muda wake wa matumizi na kusababisha hasara

-Akiambiwa kitu hakijakaa sawa anahisi kuonewa na kulalamika ilihali yeye ndio muhusika

Kwa ustawi wa familia mnadili vipi na mwanamke wa hivi?
She is not careless, kama ni gf wako she doesnt love you. Mwanamke akikupenda she pay attention at everything
 
anajaribu kudevelop imotions na inferiority complex ambazo ni useless kabisaa, akat wewe as head of the family you are working hard with no rest, to put your family in order unakutana na setbacks za ajabu, aise [emoji205]

hata hivyo,as a bold and wise man take it easy, focus on your priorities, kwa neema na baraka za Mungu, hiyo hali itapungua na kwisha kabisaa..
Ni ka upepo flani tu ka muda [emoji205]
Sawa mkuu
 
Ndio maana wataalamu wanashauri mgegedane kwanza kwa miaka kama 5 hivi msomane vizuri kabla ya kuoana. Wanawake ni viumbe wa ajabu sana. Usiwe mwepesi kuwaamini mkuu.
Unaweza kufanya hivyo ila baadae yakawa tofauti, kimsingi hawajui wanavyovitaka wanabaki kukera tu
 
Mkuu JE anakupenda kweli
Ulivyochungunguza kwa muda uliyokaa nae je si msaliti yaani muaminifu QYUMA unapata japo mara 2 kwa wiki
Kama hayo yote yapo Good
Piga moyo konde Ishi nae hvyohvyo
Mwanangu wanawake wote wanafanana
Utamuacha huyo utampata mwenye hizo sifa unazotaka ikawa fresh basi utakuta malaya anagawa kam pipi

Yaan katika haya maisha kuhusu wanawake WANAUME tumeumbiwa MATESO matatizo
Ukishaamua kuishi na Mwanamke ukubari kiwa umeyapokea MATATIZO na inabidi ujitahidi kuyazoea ila kihualisia

Inachukua si chini ya MIAKA 10 kuyazoea hayo MATATIZO(MKEWAKO) na kuchukulia poa
ukiona NDOA sehemu mwanamke kelele nyingi halafu mwanaume yupo kimya na wala hana habari nae na wapo kwenye NDOA fresh wanalea watoto na wanafanya maisha usimuone mjinga
Basi jua huyo MWANAUME kashafaulu kwenye ile KOZI YA Miaka 10 ya kuzoea hayo MATATIZO

Kwa hiyo NDUGU yangu pambana tu hvyohvyo mpka ufaulu hiyo KOZI hakuna aliye nafuu wote wapo hivyohvyo
Mimi nishazoea sasa hapo kabla nishapiga talaka kama wawili huyu wa sasa ndio KICHOMI kuliko hao waliopita

Yaan huyu wa sasa msipojiangaikia wenyewe kujipambania kuhusu kula usiku(kupika) mnaweza mkalishwa CHIPS wiki nzima

Nikitoka kazini na wanangu shule mana wakitoka shool wanakuja ofisini tunaondoka wote pamoja homie tukikuta kama hajapika hata hatusemezani nae tunapika wenyewe tunakula mana hilo jambo nishasema mpk basi

Mwanangu mmoja ana miaka tisa mwingine sita
Ndio maisha ya NDOA yalivyo mkuu
 
Mkuu JE anakupenda kweli
Ulivyochungunguza kwa muda uliyokaa nae je si msaliti yaani muaminifu QYUMA unapata japo mara 2 kwa wiki
Kama hayo yote yapo Good
Piga moyo konde Ishi nae hvyohvyo
Mwanangu wanawake wote wanafanana
Utamuacha huyo utampata mwenye hizo sifa unazotaka ikawa fresh basi utakuta malaya anagawa kam pipi

Yaan katika haya maisha kuhusu wanawake WANAUME tumeumbiwa MATESO matatizo
Ukishaamua kuishi na Mwanamke ukubari kiwa umeyapokea MATATIZO na inabidi ujitahidi kuyazoea ila kihualisia
Inachukua si chini ya MIAKA 10 kuyazoea hayo MATATIZO(MKEWAKO) na kuchukulia poa
ukiona NDOA sehemu mwanamke kelele nyingi halafu mwanaume yupo kimya na wala hana habari nae na wapo kwenye NDOA fresh wanalea watoto na wanafanya maisha usimuone mjinga
Basi jua huyo MWANAUME kashafaulu kwenye ile KOZI YA Miaka 10 ya kuzoea hayo MATATIZO

Kwa hiyo NDUGU yangu pambana tu hvyohvyo mpka ufaulu hiyo KOZI hakuna aliye nafuu wote wapo hivyohvyo
Mimi nishazoea sasa hapo kabla nishapiga talaka kama wawili huyu wa sasa ndio KICHOMI kuliko hao waliopita
Yaan huyu wa sasa msipojiangaikia wenyewe kujipambania kuhusu kula usiku(kupika) mnaweza mkalishwa CHIPS wiki nzima
Nikitoka kazini na wanangu shule mana wakitoka shool wanakuja ofisini tunaondoka wote pamoja homie tukikuta kama hajapika hata hatusemezani nae tunapika wenyewe tunakula mana hilo jambo nishasema mpk basi
mwanangu mmoja ana miaka tisa mwingine sita
Ndio maisha ya NDOA yalivyo mkuu
Pole mkuu umepambana sana kuizoea hiyo hali.

huyu wangu kuna mazuri mengi tu aliyonayo ingawa hivi vijitabia anavyokataa kubadilika navyo vinakera.

Upande wa kuvumilia hali ya maisha nampa maua yake, ameweza kuishi kulingana na hali tuliyonayo bila kufuata mkumbo kwa wanawake wengine wenye unafuu wa hali ya maisha. Tunayo malengo mengi kama familia ambayo tunatakiwa tuyatekeleze na wote tunaendelea kuvumilia kwani tunajua wakati wa Mungu ukifika ndio wakati sahihi.

Siku zote tunajua penye usafi kinachoonekana kuliko vyote ni doa la uchafu hata kama liwe dogo. na hilo doa tuna viwango vya kulivumilia na juhudi mbalimbali kukabiliana nalo.
 
Pole mkuu umepambana sana kuizoea hiyo hali.

huyu wangu kuna mazuri mengi tu aliyonayo ingawa hivi vijitabia anavyokataa kubadilika navyo vinakera.

Upande wa kuvumilia hali ya maisha nampa maua yake, ameweza kuishi kulingana na hali tuliyonayo bila kufuata mkumbo kwa wanawake wengine wenye unafuu wa hali ya maisha. Tunayo malengo mengi kama familia ambayo tunatakiwa tuyatekeleze na wote tunaendelea kuvumilia kwani tunajua wakati wa Mungu ukifika ndio wakati sahihi.

Siku zote tunajua penye usafi kinachoonekana kuliko vyote ni doa la uchafu hata kama liwe dogo. na hilo doa tuna viwango vya kulivumilia na juhudi mbalimbali kukabiliana nalo.
Kama game anatoa vzr hayo mengine ni madogo to. Inawezekana pia kabadilika tabia kulingana na wewe mwenyewe unavyomchukulia, labda kuna ahadi hujamtimizia au unampuuza mambo mengi.
Tumia approach tofauti tofauti kumwelekeza, mfano tafuta wakati wa amani kabisa toka nae outing mpige misosi ya maana halafu ongea nae kwa upole inaweza saidia ukajua mengi pia.
 
Kama game anatoa vzr hayo mengine ni madogo to. Inawezekana pia kabadilika tabia kulingana na wewe mwenyewe unavyomchukulia, labda kuna ahadi hujamtimizia au unampuuza mambo mengi.
Tumia approach tofauti tofauti kumwelekeza, mfano tafuta wakati wa amani kabisa toka nae outing mpige misosi ya maana halafu ongea nae kwa upole inaweza saidia ukajua mengi pia.
Sawa mkuu, game ipo kama labda iwe dharura ya kukwamisha.

Suala la out ndio huwa sitokagi kabisa, tunaweza kutoka kwenda kununua mahitaji tukiwa pamoja basi
 
Back
Top Bottom