Mnaemtetea bado anatukana huko Instagram, nidhamu yake ni 0

Kwahiyo kama anaamini kaonewa adabu ni kukaa kimya?

Kwann unamzuia asiongee?
 
Jamaa anajua ana watu wengi nyuma, cha ajabu anazingua sana kiburi, kujiona, kutaka sifa yeye! Then akimaliza hapo anatafuta sympathy..
Ninachojua wananchi wanaweza kujaza uwanja bila manara lakini kaona akikaa kimya hatopata sifa anataka yeye ndio aonekane kafanya watu wajae hahaha
 
manara huwaga hatafuti sympath hata zile kuomba msamaha alikuwa namchora tu karia
 
Huyo mnaemtetea kuwa kaonewa kaibuka tena na kudai atapambana hadi mumuue, hata kama kuna watu wanataka kumsaidia, huyu ni wa kumsaidia kweli
Acha umbea haukusaidii kitu. Maisha ya Manara na tabia zake zinamfaa mwenyewe na wanaomuelewa. Kama humuelewi hulazimishwi kumuelewa.
 
But hukumu ipo pale pale acha atukane tu,
Na si ajabu anaweza kujitengenezea matatizo mengine zaidi,

Kukaa kimya pia ni busara,
Hata huko Jela sio kila mfungwa ana kosa,imesha tokea mtu kakaa jela mvua kibao kisha ikaja kugundulika kua haku tenda kosa lolote,

Manara akae kwa kutulia.
 
Weka ushahidi wa huko Instagram. kama vipi Toa hizi tokotoko zako
 
wiki mbili nyingi,atasamehewa.
kama ilivyotolewa kichuki na kisiasaa itanyamazishwa hivyo hivyo... when u think ur the bigger fish in the ocean expect surprise
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…