Mnaenda katika "nyumba za ibada" zisizo na Ukweli

Uliahirisha kukata tamaa mkuu ukaamua uanze kukosoa jamii na imani zao kisa mapesa yamekukataa.


Unahitaji akili ya ziada ili kuielewa jamii kwa nini iko kama ilivyo.
Ingia Kwenye hoja Hali ya Uchumi wa Mtu Ambaye Humuoni Wala Humjui unaizungumziaje. Wewe si ndio utaonekana Hamnazo. Unaacha Hoja Unakimbilia Hali za Uchumi na Kukata Tamaa

Mada Hiyo hapo Juu. Si kila Anayekwenda tofauti na Wewe Ana Hali mbaya Ya Uchumi wengi wamekuzidi Sana Tu na Wanahoji Vitu vikubwa Wewe si Umekaririshwa Tu maan Huna Ukweli ndani Yako ndio maana Mnakasirika Mkiulizwa Maswali
 

Wewe ni special case Kama zumaridi na nabii Tito.
 
Wewe si uko kuzimu makanisa yanakunyima usingizi
Yananinyimaje usingizi Ndugu yangu. Mie Ukweli naujua huko hakuna ukweli ndio maana mnaambiwa Sadaka ni za Mungu na nyie mnakubali wakati watu wanaenda kufanyia miradi yao na kununua Majumba ya kifahari
 
Yananinyimaje usingizi Ndugu yangu. Mie Ukweli naujua huko hakuna ukweli ndio maana mnaambiwa Sadaka ni za Mungu na nyie mnakubali wakati watu wanaenda kufanyia miradi yao na kununua Majumba ya kifahari
Yanakunyima usingizi kwa sababu matarajio yako kwa Kanisa yameshindwa unabaki kupiga kelele ambazo hazina maana.
 
Yanakunyima usingizi kwa sababu matarajio yako kwa Kanisa yameshindwa unabaki kupiga kelele ambazo hazina maana.
Kukuuambia kwamba Sadaka Zako huwa Haziendi kwa Mungu ndio Unasema Matarajio yangu hayajatimia. Huo ndio Ukweli huko Mlipo hakuna Ukweli wowote ule mnapumbazwa Sana
 
Kukuuambia kwamba Sadaka Zako huwa Haziendi kwa Mungu ndio Unasema Matarajio yangu hayajatimia. Huo ndio Ukweli huko Mlipo hakuna Ukweli wowote ule mnapumbazwa Sana
Kwani sadaka umeziona makanisani tu,je misikitini hakuna sadaka,je kwenye mahekalu hakuna sadaka je kwa mizimu hawatoi sadaka mbona unaumizwa na sadaka za makanisani?
 
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
MTU MZIMA NA AKILI ZAKO NA MAPUPU KABISA UNAMWITA MWANAMKE MFALME ETI MUNGU.
MBWA WEWE HUFAI KUISHI , UNAMALIZA OXYGEN YA BURE
 
Kwani sadaka umeziona makanisani tu,je misikitini hakuna sadaka,je kwenye mahekalu hakuna sadaka je kwa mizimu hawatoi sadaka mbona unaumizwa na sadaka za makanisani?
Tatizo Siyo Sadaka hizo Sadaka Zinafanyiwa Nini! Sijakukataza Kutoa sadaka wewe katoe tu Ila Ushauri wangu kwako Katoe Sadaka Kwa Binadamu wenzako Maana Hao ndio wanahitaji mahitaji muhimu ya Maisha, Mungu hana Upungufu huo mpaka Eti umpe Sadaka na Shukrani

Kumpelekea Sadaka Mtu anayeenda Kujenga Kwao, Kujenga Miradi,Kujenga Mashule amabyi hata Ww kama Muumini huwezi Peleka mtoto wako na Uliijenga Kwa. MICHANGO yako huo Ni Upungufu wa Akili uliopitiliza.

Ila Kma Wewe ni Mchungaji Endelea Kuwapiga Tu mpaka akili zao zitakapofunguka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…