Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imekaa vyema Sana.Namuelewa ndiyo. Kuna sehemu tulikutana humu jukwaani katika pita pita zetu 😅
AmeenAsante kwa ushauri mzuri. Mungu akubariki.
Wapo mikono salama 😂Usiwamwage Shimoni tu.
Ujanja ujanja mwingi Sana Mpare.
Mwishoni gharama yake huwa ni kubwa
pole sanaUmepiga penyewe, mambo ya pesa, mambo ya business.
Pole sana mkuu, hakuna lisilo na mwisho siku zote jiandae kisaikolojia kuyapokea yote katika maisha, hata magumu vinginevyo utakwama sehem moja kwa muda mrefu sana na itakugarimu sana hasa kiafya.Jamani kusema ni rahisi ila moyo ndiyo tatizo. Usingizi wote umekata.
Eleza shida yako, changamoto ni sehemu ya maisha, changamoto inatakiwa ukabiliane nazo hatuzikimbii changamoto wewe fafanua tatizo lako wadau wakusaidieWandugu huwa mnakabiliana vipi na hali ya kutakiwa kuamua maamuzi magumu ya kuumiza moyo?
Mnafanikiwa vipi kuipita hiyo changamoto?. 🥺🥺 ili uwe sawa kama hapo kabla 😔
Tupe mwelekeo unaendeleaje leoNashukuru sana kaka, naufanyia kazi. Ubarikiwe
Mimi huwa na hoja tu mkuu sema watu wananidharau humuWe falla umetania lkn una hoja😂
MasterMimi huwa na hoja tu mkuu sema watu wananidharau humu
Ndio ndio mkuuMaster
Asante sana, ni ukweli mtupu uliosema.Pole sana mkuu, hakuna lisilo na mwisho siku zote jiandae kisaikolojia kuyapokea yote katika maisha, hata magumu vinginevyo utakwama sehem moja kwa muda mrefu sana na itakugarimu sana hasa kiafya.