One thing you don't know ni kwamba hata utukane vipi, hakuna kinachonistua. Maneno ya kwenye kanga kwako na Wamakonde wenzako ndiyo mnakuwa touched.Kihongosi alikuchapa ngapi jana
Hahahahaha! Haunizidi kwa chochote kile na sana sana hiyo hebephrenic schizophrenia inahitaji matibabu aisee! Great thinker kwa mpuuzi kama wewe? IdiotOne thing you don't know ni kwamba hata utukane vipi, hakuna kinachonistua. Maneno ya kwenye kanga kwako na Wamakonde wenzako ndiyo mnakuwa touched.
Hivi inawezekana vipi mtu mwenye akili timamu akakerwa na just mere words, civilized personalities wanakuona ni clown unavyohangaika kumtukana mtu msiyefahamiana.
Back in the day JF was for GTs, now it has clowns like you.
Imekuaje Tena kipenzi[emoji4]Mmh this comment!
Maswali gan Tena mkuu[emoji848]Hyo comment ya mkuu deepond imezua maswali
Raha mwanaume awe nacho na atoe pia...Kabisa mkwe. Mwanaume awe na hela halafu akupende utafurahi mbona
Nimeikuta hukoo kwa wasimamia kuchaaaAnafikiri wabongo wajinga, hela za mgao wa CMG kwenye share za hayati boss ndizo anazotambia mjini. Kila mgao ukitoka mpunga mrefu unaingia kwanini asi ball [emoji23][emoji23][emoji23]
Apart from tenda za gvt gereji Iko eneo zuri pia obviously wanaopeleka magari ni washua pia na hivi mkewe ni staa wengi hupeleka magari paleKwa aina ya biashara anayofanya kuna uwezekano mkubwa wa kuhonga hio gari.
130M sio hela nyingi kama una capacity ya kufunga 5M in each week. Na kama ana connections na mjomba wake katelephone means ana uwezo wa kuchukua tenders za ku service v8 za serikali with beefed up invoices. Gari moja tu inaacha 10M ukipewa 10 kila mwezi a 100G is eazy money bruh.
Dear asikuambie mu ndoa zinaficha mengi sana ,wanawake wengi tunafanya mambo wenyewe then tuna pretend wamefanya waume zetu Ili tu kuwapa heshima...Kumbe wadada wa kibongo wana mikwanja mirefu hivyo! Lakini pia wanajua kuwaheshimisha waume zao.... Kwanini sisi tusiheshimu alichokisema kuliko kufukunyua vitu ambavyo havina faida kwetu?
Nakubali darling,Dear asikuambie mu ndoa zinaficha mengi sana ,wanawake wengi tunafanya mambo wenyewe then tuna pretend wamefanya waume zetu Ili tu kuwapa heshima...
Ndani ya Kuta nne Kuna mambo sanaa!!!
Mmakonde katika kujitutumua kwake, hivi kwanini kabila lenu huwa na umbumbumbu uliokithiri?Hahahahaha! Haunizidi kwa chochote kile na sana sana hiyo hebephrenic schizophrenia inahitaji matibabu aisee! Great thinker kwa mpuuzi kama wewe? Idiot
Uongo maana yake sio kwenye kuhonga ila hajampa hao nilikutana nao mikocheni wakiendesha Noah. Hamna boss ataendesha Noah akaacha range au gari nyengineGari tu unahamaki?
Pitia kariakoo uone wakinga wanavyo honga magorofa.
Puche haijai kwenye sahani, lkn kwa wanawake wanaijua kuitumia vizuri wanatoboa.
Angalia yule waziri awamu ya muondokaji kwa Sasa ametemwa ya kipare ilivyokua inamtesa. Angalia huyu wa Sasa anayemwaga mamilioni ili puche iende falme za kiarabu.
Kimsingi Connection imekutana na mazingira mazuri ya biasharaApart from tenda za gvt gereji Iko eneo zuri pia obviously wanaopeleka magari ni washua pia na hivi mkewe ni staa wengi hupeleka magari pale
He,kama kweli atakua wamemroga!Nimeikuta hukoo kwa wasimamia kuchaaa
Wabongo nuksiiiii[emoji1][emoji1][emoji1]View attachment 2412482
Kabisa yaani mapenzi ni kuheshimian ikiwemo kufichiana Baadhi ya mambo haswaa kwa anaejitambuaNakubali darling,
Hata mimi naheshimishwa na wifi yako mara nyingi,
Inapendeza sana kufichiana siri ndio upendo huooo
[emoji16][emoji3][emoji3][emoji38]daahhhHe,kama kweli atakua wamemroga!
Kanunuwa mwenyewe kwa pesa zip alizokuwa nazo??Ile mission town ilimuuma sana daah. Ukweli ni kwamba hio gari kajinunulia maana hata nyumba wanayoishi alijenga ruge kwa ajili ya wanae. Zama analea kama shamte anavvyolelewa na familia ya domo
Zamaradi na Ruge hawakuwahi kuoana, kwahiyo hajawahi kuwa mke wa rugeNianze kukujibu
Zamaradi Ni mke aliye kuwa boss marehemu ruge wa cloud Media group
Lkn pia acha makasirio muombe na wee mungu akuwezeshe akufanikishe ili upate pesa Kisha umnunulia mkeo hata ka ist acha wivu ,fitina,na roho mbaya
Tumpongeze mtoaji na mpokeaji wote kwa pmj
Ni ndugu wa DibloKumbe ndio hbr zao ila kjn inasemekana Ni kijna wa royal family
Mi wangu kila nikimpa mimba anafurahi kweli, sasahivi tuna wa4Asitusumbue kila mtu anampa mpenzi wake anachoweza, mimi wangu nikimpa yoghurt za asas na pipi ivory na nauli ya mwendokasi tayari ananiona shujaa