Mnafeli wapi? Zamaradi Mketema kapewa range rover na mumewe!

Kihongosi alikuchapa ngapi jana
One thing you don't know ni kwamba hata utukane vipi, hakuna kinachonistua. Maneno ya kwenye kanga kwako na Wamakonde wenzako ndiyo mnakuwa touched.
Hivi inawezekana vipi mtu mwenye akili timamu akakerwa na just mere words, civilized personalities wanakuona ni clown unavyohangaika kumtukana mtu msiyefahamiana.
Back in the day JF was for GTs, now it has clowns like you.
 
Hahahahaha! Haunizidi kwa chochote kile na sana sana hiyo hebephrenic schizophrenia inahitaji matibabu aisee! Great thinker kwa mpuuzi kama wewe? Idiot
 
Anafikiri wabongo wajinga, hela za mgao wa CMG kwenye share za hayati boss ndizo anazotambia mjini. Kila mgao ukitoka mpunga mrefu unaingia kwanini asi ball [emoji23][emoji23][emoji23]
Nimeikuta hukoo kwa wasimamia kuchaaa
Wabongo nuksiiiii[emoji1][emoji1][emoji1]
 
Apart from tenda za gvt gereji Iko eneo zuri pia obviously wanaopeleka magari ni washua pia na hivi mkewe ni staa wengi hupeleka magari pale
 
Kumbe wadada wa kibongo wana mikwanja mirefu hivyo! Lakini pia wanajua kuwaheshimisha waume zao.... Kwanini sisi tusiheshimu alichokisema kuliko kufukunyua vitu ambavyo havina faida kwetu?
Dear asikuambie mu ndoa zinaficha mengi sana ,wanawake wengi tunafanya mambo wenyewe then tuna pretend wamefanya waume zetu Ili tu kuwapa heshima...
Ndani ya Kuta nne Kuna mambo sanaa!!!
 
Dear asikuambie mu ndoa zinaficha mengi sana ,wanawake wengi tunafanya mambo wenyewe then tuna pretend wamefanya waume zetu Ili tu kuwapa heshima...
Ndani ya Kuta nne Kuna mambo sanaa!!!
Nakubali darling,
Hata mimi naheshimishwa na wifi yako mara nyingi,

Inapendeza sana kufichiana siri ndio upendo huooo
 
Uongo maana yake sio kwenye kuhonga ila hajampa hao nilikutana nao mikocheni wakiendesha Noah. Hamna boss ataendesha Noah akaacha range au gari nyengine
 
Ile mission town ilimuuma sana daah. Ukweli ni kwamba hio gari kajinunulia maana hata nyumba wanayoishi alijenga ruge kwa ajili ya wanae. Zama analea kama shamte anavvyolelewa na familia ya domo
Kanunuwa mwenyewe kwa pesa zip alizokuwa nazo??
 
Itakuwa wameliazima kwa mtu ili wafanye show off .

Fundi garage uwezo wa kununua gari ya aina hiyo hawezi kuwa nao.

Sijui Kwanini Zama anatumia nguvu nyingi kutaka kuiaminisha jamii kuwa yuko vizuri na jamaa yake ambapo jamii iko na mambo yake wala yanayoendelea kati yao haitafuti kujua.

Hii show off na kutafuta misifa fake ni ishara kuwa huenda kuna mahala Zama na fundi garage wake hawako Sawa!
 
Zamaradi na Ruge hawakuwahi kuoana, kwahiyo hajawahi kuwa mke wa ruge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…