Mnafeli wapi? Zamaradi Mketema kapewa range rover na mumewe!

Mnafeli wapi? Zamaradi Mketema kapewa range rover na mumewe!

Zamaradi Tena kaongwa kitu kipya zeroo km Aina ya range Rover autobiography Kali sana hapa mjini DSM.

Dada yetu ana bahati ya peke haswa kwa kipindi hiki huwezi pata mwanaume akuonge pesa ndefu huku ulikuwa single maza na watoto watatu juu siyo kawaida kabisa, dada mshukuru Sana mungu kwa hilo, siyo Jambo dogo kabisa hili.

Ila pia naambiwa mhongaji anatokea Royal family moja kubwa hapa nchini haijajulikana ni ipi hadi sasa.


Kudos Sana mhongaji uko vizuri ilisemekana wee ni mmoja wa watu wanaopata furaha Sana ktk mapenzi konde boy haoni ndani.
View attachment 2411275View attachment 2411276
Si ajabu anapewa tundu dogo
 
Hiyo gari zamaradi kanunua mwenyewe kauza nyumba aliyo achiwa na Ruge kwa ajili ya watoto wake!
Hizo pesa kagawana na mama mwingine ambaye alizaa mtoto mmoja na Ruge!
Hakuna cha mumewe wala mavi ya mumewe kumnunulia hilo gari, kajinunulia mwenyewe [emoji35] what a shame [emoji35]
Unauza nyumba na kununua gari [emoji35]
Wanawake msidanganyike hamna hicho kitu walahi!
 
Back
Top Bottom