Mcheza Piano
JF-Expert Member
- Mar 2, 2024
- 562
- 1,339
Hawa ma forward walioletwa wameshindwa kuendana na kasi ya kikosi chetu. Tunawataka viongozi wetu msimu ujao wawarejeshe Kagere na Boko ili kuchukua makombe. Huu ni ushauri wa kitaalamu, Benchikha atanielewa vizuri kuliko popoma.
Kihasibu ndugu Jobe na Fredi ni hasara sindio OKW BOBAN SUNZU
Kihasibu ndugu Jobe na Fredi ni hasara sindio OKW BOBAN SUNZU