Mnafiki wa kwanza huyu hapa bongo muvi

Mnafiki wa kwanza huyu hapa bongo muvi

msibani haimaanishi ndo unalia mwanzo mwisho, unalia, unanyamaza, unaongea na kama wapo watakaokuchekesha hasa friends wanaokuja kukufariji basi unacheka. Hata ufiwe na mzazi wako hali ndo iko hvyo. Sembuse JB kafiwa na mfanyakazi mwenzie?
 
Huzuni ya mtu huwezi kuipima kwa macho,yawezekana usoni anacheka ila moyoni analia,na mwingibe anaweza kulia hadi kuzimia ila moyoni anashangilia
 
🏃🏇🏇🏇🏃 🏃 🚶🚶
 
Wadau siku jana nilikua naangalia kipindi cha take one ambacho kinarushwa moja kwa moja na clouds tv ambacho kilikua live, maudhui yalikua ni juu ya msiba wa marehemu Kuambiana.

Kilichonisikitisha JB alikuwa mgeni rasmi katika kipindi hicho wakati wa mahojiano alionekana akiwa na uzuni sana juu ya msiba uliotokea lakini walipo onesha clip ya dada aliyekuwa akihojiwa ambapo alikuwa akilia na baadae clip ya Steve Nyerere, kilicho nishangaza kamera zilinasa live akicheka.

Kwa kweli kitendo hicho kimenikera sana kuonesha jamaa huyu alivo mnafiki pamoja na huyo mwenzake na uki link na clip waliyoonesha JB mwenyewe akilia nashindwa hata kumuelewa zaidi ya kujua huyu jamaa ni zaidi ya mnafiki.

Eh sa ulitaka alie siku nzima kha....mayb kuna kilichomchekesha
 
Wadau siku jana nilikua naangalia kipindi cha take one ambacho kinarushwa moja kwa moja na clouds tv ambacho kilikua live, maudhui yalikua ni juu ya msiba wa marehemu Kuambiana.

Kilichonisikitisha JB alikuwa mgeni rasmi katika kipindi hicho wakati wa mahojiano alionekana akiwa na uzuni sana juu ya msiba uliotokea lakini walipo onesha clip ya dada aliyekuwa akihojiwa ambapo alikuwa akilia na baadae clip ya Steve Nyerere, kilicho nishangaza kamera zilinasa live akicheka.

Kwa kweli kitendo hicho kimenikera sana kuonesha jamaa huyu alivo mnafiki pamoja na huyo mwenzake na uki link na clip waliyoonesha JB mwenyewe akilia nashindwa hata kumuelewa zaidi ya kujua huyu jamaa ni zaidi ya mnafiki.


kweli namimi niliona LIVE Nomaa! lol Zamaradi Mwenyewe alicheka
 
Asante kwa kuliona hilo siyo utamaduni wa muafrika hata kwa majumuisho yangu nimesema kweli huwezi kulia wakati wote pia hata kucheka kuna wakati wake na mahala pake mfano wkt jb anatoa speech yake ya mwisho kwa nn asinge cheka..... Alafu yeye kwenye tv anacheka huu ni unafik na uzandiki mimi sikupenda hata kidogo
 
Kuongezea wakati yule Miriamu anasema Marehemu alikuwa anamwita" My Number One Super star" na kumpa shati la Urithi niliona JB na Mtitu waliangaliana Macho Fulani hivi na big smile , siyo wa kuwalaumu sana Inaonekana Marehemu alikuwa na Vijimamboo! RIP Kuambiana ..
 
Duuh...Nimesoma.. Nikarudia kusoma bado..

Sijui ni Mimi sielewi au Mada ndiyo haieleweki??
 
Ukishakufa shughuli yako inaishia hapowatu wanautumia Msiba kama fursa za kujitangaza na kama hamko makini watu wanautumia kama fursa za kutokea,Mlishuhudia kwa Kanumba watu wamepiga Rambirambi watu wakiwa wanaangalia kwa macho hawaamini kinachotokea watu wamepiga mpaka michele na wengine nasikia hadi wamenunua magari,kufa kufaana Mkuu.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Wadau siku jana nilikua naangalia kipindi cha take one ambacho kinarushwa moja kwa moja na clouds tv ambacho kilikua live, maudhui yalikua ni juu ya msiba wa marehemu Kuambiana.

Kilichonisikitisha JB alikuwa mgeni rasmi katika kipindi hicho wakati wa mahojiano alionekana akiwa na uzuni sana juu ya msiba uliotokea lakini walipo onesha clip ya dada aliyekuwa akihojiwa ambapo alikuwa akilia na baadae clip ya Steve Nyerere, kilicho nishangaza kamera zilinasa live akicheka.

Kwa kweli kitendo hicho kimenikera sana kuonesha jamaa huyu alivo mnafiki pamoja na huyo mwenzake na uki link na clip waliyoonesha JB mwenyewe akilia nashindwa hata kumuelewa zaidi ya kujua huyu jamaa ni zaidi ya mnafiki.

Wewe ni mpuuuuuumba. V
Watu kwenye misiba wanakutana wanafarijiana wanabadilishana mawazo
 
Kucheka c kufurahi na kununa sio mwisho wa msiba. Inafika wakati mzazi aliondokewa name Mtoto anacheka sembuse yy eti msanii mwenzake
 
wewe ni mpuuuuuuuuu.Z

WATU KENYE MISIBAWANAKUTANA WANABADILISHANA MAWAZO NA WALA SIYO KUCHEKA CHEKA KA VILE UNAME....GW
 
Back
Top Bottom