sasa zawadi si hadi ufanyiwe kitu cha kukufurahisha! Au unatoa tu hivi hivi?
usikawie.
we paka sidhani kama mwanaume akiwa anasaidia familia yake tutasema anahonga. Mwanamke nae akiwa anakuhonga lazima wanaume mjifikiri mara 2 mbili.
Fidel80, kumbuka hongo ni kama subset ya Rushwa!!!!!!!
Naona kama hujanielewa mama hiyo ya familia nimeweka kama mfano tu,ila point ni kuwa mwanaume kuhonga ni wajibu na vilevile iko katika nature maana hata wanyama nao huwa wanahonga.
Ila sikujua kama hadi wanyama nao wanahonga.
Ndo maana nasema sheria iangalie hili unajua unaweza ukawa unafukuzia binti mkawa ligi moja na mtoto wa Bakharesa ukashangaa anatumia mkwanja sana ukiwa kama hongo ili imradi tu ampate huyo binti na wewe mtoto wa mkulima ndo umejipinda hapo hapo wewe unamwaga sera yule anamwaga mkwanja inabidi sheria itazame hii rushwa ya kutongoza mtu anatumia pesa kwa kumhonga mwanamke amkubalie
hata mimi huwa hili linanichanganya kwakuwa kama binadamu wote wanahitaji mapenzi kwa maana ya mwanamume na mwanamke, sasa kwanini wanaume wanatumia sana materials kuwapata wanawake?Mapenzi si pesa ingawa pesa ina nafasi kubwa katika mapenzi.
Hivi mnapokuwa mnahonga pesa, nyumba, simu, magari etc huwa mmependa na unaonesha kuwa unajali au unafanya hivyo ili upewe utamu?
mimi huwa sihongi!
natoa zawadi tu!
Mapenzi si pesa ingawa pesa ina nafasi kubwa katika mapenzi.
Hivi mnapokuwa mnahonga pesa, nyumba, simu, magari etc huwa mmependa na unaonesha kuwa unajali au unafanya hivyo ili upewe utamu?
ni tamaa tu kujionyesha kuna pesa mwanamme akiwa hajui ktongoza