Mnaijeria wenu ana bahati sana ameomba pooo mapema kwa Simba SC kwani tulichokuwa tumemuandalia angesimulia Kwao!

Tomito Tomato

Senior Member
Joined
Feb 11, 2017
Posts
167
Reaction score
444
This is Simba na katika hili bado Simba SC ndiyo Washindi. Na tunamtaka Mnaijeria wenu safari ijayo asiishie tu Kuita Wachezaji Saba wa Simba SC bali kutokana na uzuri wa Wachezaji wa Simba SC na ukubwa wa Timu ya Simba hasa Kihistoria anatakiwa awe anaita Wachezaji wa Simba SC kama 14 halafu Azam anaweza akaitwa Wachezaji 4 na Yanga SC anaweza akaamua tu akawa anaita Mchezaji 1 au hata asiite kabisa kwani huko hakuna mpira sasa bali kumejaa Njaa tupu tu.

Bahati yako Mnaijeria ungekiona cha moto na ndipo ungeijua Simba SC ni zaidi yako, TFF na Taifa Stars yako.
 
Kweli wewe ni mbumbumbu, Mnigeria ana akili kweli kawapiga chenga LA mwili nanyi mmeingia mazimaaa. Kwa taarifa yako hakuna mchezaji karudishwa full stop.
 
Mkuu punguza ushabiki maandazi... hajamrudisha hata mtu mmoja... alichosema ni kwamba anaweza waita next time akiona wanafaa..

Sent using Jamii Forums mobile app
Na hawatafaa daima mpaka atakapoacha kufundisha stars, watakula jeuri yao, kawakwepa kijanja, Ila huyu mbumbumbu mleta huzi hawezi kung'amua.
 
Simba mngekua na kiwango cha kutisha mngejaza kabatini makombe makubwa. Chapen kwanza Mazembe kisha timu za misri,nigeria,etc halafu mje muanze jigamba.
 
Simba mnajitekenya na kucheka wenyewe. Amunike kaletwa na TFF iliyojaa Simba watupu.
 
rage wala hakukosea kuwaita mambumbumbu.simba km timu imeomba samahan kwa tff pamoja na kocha,kisha kocha akawajib amewasamehe.lakn vilaza wenu mubaki nao wenyewe.kwa kuwa ktk mpira nidhamu ni kitu cha kwanza.hivyo taften kocha wa kuwafundishen nidham kuanzia viongoz,wachezaj na mashabiki wote.mbumbumbu ktk ubora wenu.
 
Ndo maana mpira wetu kama mieleka ya mbuzi kama mashabiki wenyewe tuko hivi ni harari hata zao lake liwe la hovyo kiasi hiki
 
Na hawatafaa daima mpaka atakapoacha kufundisha stars, watakula jeuri yao, kawakwepa kijanja, Ila huyu mbumbumbu mleta huzi hawezi kung'amua.
acha uzwazwa sio huzi ni uzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…