Mnaijeria wenu ana bahati sana ameomba pooo mapema kwa Simba SC kwani tulichokuwa tumemuandalia angesimulia Kwao!

hili tunaliita intercontinental Povu
Wewe kweli uzwazwa wako ni wa kiwango kikubwa sana. Nadhani kwa mbumbumbu fc wewe ni nr moja. Na povu lako ni zaidi na LA OMO mkuu.
 
hili tunaliita intercontinental Povu
Wewe kweli uzwazwa wako ni wa kiwango kikubwa sana. Nadhani kwa mbumbumbu fc wewe ni nr moja. Na povu lako ni zaidi na LA OMO mkuu.
 
Nidhamu #1 na mtapata tabu sana maana jamaaa n kama maximo vile
 
Simba mngekua na kiwango cha kutisha mngejaza kabatini makombe makubwa. Chapen kwanza Mazembe kisha timu za misri,nigeria,etc halafu mje muanze jigamba.

Mbona unawasingizia wenzako. Hao Mazembe si ukawaambie yanga wawachape!!!!!
 
Ujinga wetu ndo ulimefikisha hapa soka letu,wenzetu wanasonga mbele sisi tunaendekeza u-simba na u-yanga.

Siku zote akili ndogo huwaza mambo madogo madogo yasiyokuwa na tija
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…