Mnaikumbuka hii kitu balaa la kihindi KUBER? Hainaga baunsa hii 😂😂

Mnaikumbuka hii kitu balaa la kihindi KUBER? Hainaga baunsa hii 😂😂

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
1657263327178.png

Aisee hii kitu nilikuwa naionaga tu enzi hizo nikachukulia poa. Siku ya kwanza niliila nikameza mate nilijisikia kufa, nilibanwa na haja ndogo na kubwa wakati mmoja. Tangu siku hiyo nilikoma. Kwanza ukinusa wahisi kuzunguzungu.

Hadi sasa nikimuona mtu anakula mwili unanisisimka. Hata ukiwa baunsa lazima ukipatepate.

Je, Ushawahi kutana nayo au kuwa na mtu wa karibu alotumia. Tuoe uzoefu wako

Tuelezee ilikuaje kwa faida ya wengine
 
View attachment 2284225

Aisee hii kitu nilikuwa naionaga tu enzi hizo nikachukulia poa. Siku ya kwanza niliila nikameza mate nilijisikia kufa, nilibanwa na haja ndogo na kubwa wakati mmoja. Tangu siku hiyo nilikoma. Kwanza ukinusa wahisi kuzunguzungu.

Hadi sasa nikiaona mtu anakula mwili unanisisimka.
Hv hzi ziliishiaga wapi hizi
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]huu ujinga wa kujaribu vitu vigeni unaweza kufa hata mm kuna jamaa yangu alikua anazipenda sana siku moja nikamwambia hebu na mm nipe nijaribu akaniambia nitumie km watu wa ugoro wanavofanya si nikabugi nikanywa mate [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nilikomaaa nilijua nakufa siku hiyo.

Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]huu ujinga wa kujaribu vitu vigeni unaweza kufa hata mm kuna jamaa yangu alikua anazipenda sana siku moja nikamwambia hebu na mm nipe nijaribu akaniambia nitumie km watu wa ugoro wanavofanya si nikabugi nikanywa mate [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nilikomaaa nilijua nakufa siku hiyo.

Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
Hhahahah daaah acha tu ugoro nao ni nuksi
 
Nilimezaga mate Yale hawakuniambia niteme

Ilikuwa mitaa flani tanga hio

Nililewa kisenge ..kichwa kilikuwa kizito
 
Anko wangu fulani ndio zilikuwa mambo hizi kuweka kuberi kwenye fizi[emoji2]

Nashukuru sijala kuberi,unga,bangi,sigala,ugolo na the like .

Ujana wangu nimekunywa pombe nayo sio kiasi.

Sema nilibase kwenye ile "kitu" ingine
 
Anko wangu fulani ndio zilikuwa mambo hizi kuweka kuberi kwenye fizi[emoji2]

Nashukuru sijala kuberi,unga,bangi,sigala,ugolo na the like .

Ujana wangu nimekunywa pombe nayo sio kiasi.

Sema nilibase kwenye ile "kitu" ingine
aka mbususu au siyo
 
[emoji28][emoji28][emoji28]

Ujana maji ya moto nilikua na jamaa angu yeye hawezi fanya jambo bila kuwa na kuber mdomoni.

One day alinipa nikaweka chini ya fizi..aisee..sijui nilizidisha nilikuja kuhisi kizunguzungu..jasho mwili mzima..maruweruwe..mapigo ya moyo kwenda mbio hatari.

Nilikua kulala tangu asbuhi mpka jioni ndio nikazinduka..tangu hapo sikuzitumia tena.

Sema yalikua na harufu mbaya ya kuchefua moyo.

#MaendeleoHayanaChama
 

Aisee hii kitu nilikuwa naionaga tu enzi hizo nikachukulia poa. Siku ya kwanza niliila nikameza mate nilijisikia kufa, nilibanwa na haja ndogo na kubwa wakati mmoja. Tangu siku hiyo nilikoma. Kwanza ukinusa wahisi kuzunguzungu.

Hadi sasa nikimuona mtu anakula mwili unanisisimka. Hata ukiwa baunsa lazima ukipatepate.

Je, Ushawahi kutana nayo au kuwa na mtu wa karibu alotumia. Tuoe uzoefu wako

Tuelezee ilikuaje kwa faida ya wengine
Hizi ndio zake ile kitu,ila watu walikuwa wanapiga lakini unamuona yuko fiti tu,kingine nilikuwa siipendi harufu yake...
 
Afu hizi zimewaharibu sana meno watu wa Asia(wahindi,wachina) mara chache sana kuwakuta na meno Meupe
 
Back
Top Bottom