Lusajo, hiyo ilikuwa safi, tatizo ni kipi tulichokosa kati ya hivyo vitu vinne mpaka sasa miaka 44 bila maendeleo ya msingi kwa mfano hakuna maji safi, hospitali duni, umeme wenye kwikwi nyingi tu za kirichmond na Zimwi liitwalo Independent power supply? je ni uongozi mbovu? au tatizo liko kwetu wananchi?
Yap ni hii hapa kaka UONGOZI MBOVI, kwa sababu watu wapoo, ardhi ipoo, ila viwili hakuna, siasa safi hakuna na uongozi bora hakuna na hivi viwili vinakwenda pamoja, yaani siasa ikiwa safi na uongozi utakuwa bora. I hope next Generation watamaliza hayo matatizo mawili.
Kuna hii hapa ambayo tuliitumia;
"NITASEMA KWELI DAIMA,
FITINA KWANGU NI MWIKO,
SHIKAMOO NDUGU MWALIMU"
Hawa mafisadi hayo yote wameyasau ndio maana wana fitina katika kuhujumu uchumi wetu wananchi.
Je mnakumbuka vijana tulivyojengwa kimaadili kupitia salamu za darasani wakati mwalimu akiingia:
" Siasa ya Ubaguzi wa Rangi ni Unyama...Shikamoo mwalimu". Je kuna haja ya kuja na salamu mpya hili kuelemisha kizazi hiki kuhusu mmomonyoko wa maadili Tanzania?
Mfano kuna haja ya kurudisha hiyo salamu kwa kuibadilisha kidogo mfano:" siasa ya kunyanyapaa kikabila ni Unyama......."
Naomba kuwakilisha Hoja.
Shadow.
...KILA SIKU ASUBUHI MASHULE YOTE TLIPANDISHA BENDERA YA TAIFA NA YA CHAMA [CHA MAPINDUZI]..KWA SALUTI...HUKU BENDI YA SHULE IKIPIGA...NILIKUWA MPIGA NGOMA KUBWA[MAPIGO SABA]...KILA SHULE ENZI HIZO ILIKUWA LAZIMA KUWA NA BENDI...[WAMEHARIBU SIKU HIZI..NASIKIA]
BASI TULIKIMBIA MCHAKA MCHAKA ...BAADA YA HAPO GWARIDE..THEN TUNATOA KIAPO CHA UTIII..[KUMBUKENI SUPREMACY OF THE PARTY...]..
TULIAPA HIVI.....
KIAPO CHA CHIPUKIZI KIAPO[kiongozi wa gadi]
KIAPOOO...[WOTE]
WEWE NI NANI....[kiongozi]
mimi CHIPUKIZI WA CHAMA CHA MAPINDUZI ..
NAKITUMIAKIA CHAMA CHANGU CHA MAPINDUZI...
VIONGOZI WETU NI NANIII??? [kiongozi]
NYERERE NA ABDUL JUMBE....[WOTE]
[baadaye waliapa ..nyerere na mwinyi....then ikaja mwinyi na warioba..etc]
MARA KWA MARAAAAA...MUNGU SAIDIA!
.......Kweli malezi kipindi kile yalikuwa ya kijamaa.....lakini yalituunganisha!!
sidhani kama watoto wa leo ukiwaambia waape kwa jina ..la KIKWETE NA KARUME...WATAKUBALI..!!..sio ajabu ukiwauliza viongozi wako ni nani???..wakakujibu.....KIKWETE NA MAFISADI.....[jokin]
MAFISADI BILA TANZANIA INAWEZEKANA,VIONGOZI WAJINGA BILA TANZANIA INAWEZEKANA,Shkamooooo mwaalimu! Naona hii itakuwa njema
ahahahaah mzee hii imetulia. Natumaini waziri wa elimu anatusoma hapa. Mama Waziri 6, naomba uijadili hii kwenye 'cabinet meeting' jumatatu.
Ndio maanake mkuu.Si rahisi mafisadi na viongozi wabovu kuisha duniani.Lakini si lazima wawepo Tanzania.Ndio maana Tanzania bila hawa inawezekana!
Je mnakumbuka vijana tulivyojengwa kimaadili kupitia salamu za darasani wakati mwalimu akiingia:
" Siasa ya Ubaguzi wa Rangi ni Unyama...Shikamoo mwalimu". Je kuna haja ya kuja na salamu mpya hili kuelemisha kizazi hiki kuhusu mmomonyoko wa maadili Tanzania?
Mfano kuna haja ya kurudisha hiyo salamu kwa kuibadilisha kidogo mfano:" siasa ya kunyanyapaa kikabila ni Unyama......."
Naomba kuwakilisha Hoja.
Shadow.
...KILA SIKU ASUBUHI MASHULE YOTE TLIPANDISHA BENDERA YA TAIFA NA YA CHAMA [CHA MAPINDUZI]..KWA SALUTI...HUKU BENDI YA SHULE IKIPIGA...NILIKUWA MPIGA NGOMA KUBWA[MAPIGO SABA]...KILA SHULE ENZI HIZO ILIKUWA LAZIMA KUWA NA BENDI...[WAMEHARIBU SIKU HIZI..NASIKIA]
BASI TULIKIMBIA MCHAKA MCHAKA ...BAADA YA HAPO GWARIDE..THEN TUNATOA KIAPO CHA UTIII..[KUMBUKENI SUPREMACY OF THE PARTY...]..
TULIAPA HIVI.....
KIAPO CHA CHIPUKIZI KIAPO[kiongozi wa gadi]
KIAPOOO...[WOTE]
WEWE NI NANI....[kiongozi]
mimi CHIPUKIZI WA CHAMA CHA MAPINDUZI ..
NAKITUMIAKIA CHAMA CHANGU CHA MAPINDUZI...
VIONGOZI WETU NI NANIII??? [kiongozi]
NYERERE NA ABDUL JUMBE....[WOTE]
[baadaye waliapa ..nyerere na mwinyi....then ikaja mwinyi na warioba..etc]
MARA KWA MARAAAAA...MUNGU SAIDIA!
.......Kweli malezi kipindi kile yalikuwa ya kijamaa.....lakini yalituunganisha!!
sidhani kama watoto wa leo ukiwaambia waape kwa jina ..la KIKWETE NA KARUME...WATAKUBALI..!!..sio ajabu ukiwauliza viongozi wako ni nani???..wakakujibu.....KIKWETE NA MAFISADI.....[jokin]
philemoni,,, mwana wa mikaeli,,,,wacha hiyo. Jamani wakati huo huko kijijini, mzee mmoja aliangukiwa na jiwe kisa wimbo wa taifa. Ile inaanza tu,,,,,, Mungu ibariki Tanzaniaaaaa,,, Mzee wa watu kaachia mawe aliyoyabeba akaangukiwa na jiwe lakini hakulia mpaka wimbo unaisha! Nakumbuka pale shuleni kwetu,,, pale aulizwe Gabriel Mkamba anakumbuka vizuri huyu,,, kaka mkuu wa shule,,, alikuwa kimbelemble sana siku hizo,,, yuko wapi sijui na manispaa gani huko dsm.
Pamoja na viapo vyote lakini naamini kuwa hawa bongo fleva wetu hawajui hata waziri wa mambo ya ndani wa Tanzania yetu. Labda Salamu itakayofuta:-
MAFISADI TANZANIA WAFANYWEJE? labda sijui,,, nasema sijui,,,,