Mnaikumbuka Salamu hii shuleni?

Mnaikumbuka Salamu hii shuleni?

Shadow

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2008
Posts
2,897
Reaction score
675
Je mnakumbuka vijana tulivyojengwa kimaadili kupitia salamu za darasani wakati mwalimu akiingia:

" Siasa ya Ubaguzi wa Rangi ni Unyama...Shikamoo mwalimu". Je kuna haja ya kuja na salamu mpya hili kuelemisha kizazi hiki kuhusu mmomonyoko wa maadili Tanzania?

Mfano kuna haja ya kurudisha hiyo salamu kwa kuibadilisha kidogo mfano:" siasa ya kunyanyapaa kikabila ni Unyama......."

Naomba kuwakilisha Hoja.

Shadow.
 
kulikuwepo na hii "ili tuendeleee tunahitaji vitu vinne watu, ardhi, siasa safi na uongozi bora shikaaa mooo mwaaalimu"
 
Lusajo, hiyo ilikuwa safi, tatizo ni kipi tulichokosa kati ya hivyo vitu vinne mpaka sasa miaka 44 bila maendeleo ya msingi kwa mfano hakuna maji safi, hospitali duni, umeme wenye kwikwi nyingi tu za kirichmond na Zimwi liitwalo Independent power supply? je ni uongozi mbovu? au tatizo liko kwetu wananchi?
 
Lusajo, hiyo ilikuwa safi, tatizo ni kipi tulichokosa kati ya hivyo vitu vinne mpaka sasa miaka 44 bila maendeleo ya msingi kwa mfano hakuna maji safi, hospitali duni, umeme wenye kwikwi nyingi tu za kirichmond na Zimwi liitwalo Independent power supply? je ni uongozi mbovu? au tatizo liko kwetu wananchi?

Yap ni hii hapa kaka UONGOZI MBOVI, kwa sababu watu wapoo, ardhi ipoo, ila viwili hakuna, siasa safi hakuna na uongozi bora hakuna na hivi viwili vinakwenda pamoja, yaani siasa ikiwa safi na uongozi utakuwa bora. I hope next Generation watamaliza hayo matatizo mawili.
 
Yap ni hii hapa kaka UONGOZI MBOVI, kwa sababu watu wapoo, ardhi ipoo, ila viwili hakuna, siasa safi hakuna na uongozi bora hakuna na hivi viwili vinakwenda pamoja, yaani siasa ikiwa safi na uongozi utakuwa bora. I hope next Generation watamaliza hayo matatizo mawili.

Ndugu yangu Lusajo,

Hiki kizazi kipya mbona ndo kinakuja na mambo ya ajabu ajabu kama vile arrogance na kujikweza na kulewa madaraka umeyaona kama ya kina mengi na waziri kijana. Badala ya hiyo damu changa na mpya kuleta faraja inakuja kuleta karaha. Si unaona kizazi kipya kimetoka na EPA na madudu mengine ya ajabu ajabu. Tuombe sana tupate viongozi patrotic kama Patrice Lumumba, Nyerere, au hata Mandela. Siasa za sasa bila kujali umri ni zile tunaita "Cosmetic Politics" hawana jipya hata ukiwapima kwenye mzani...jaribu kuchunguza pande zote.
 
Kuna na hii nayo tulikuwa nayo sisi:
Imaani ya Chama Yasema, Kila mtu Astahili Heshima, Shikamoo mwalimu...
 
Kuna hii hapa ambayo tuliitumia;

"NITASEMA KWELI DAIMA,
FITINA KWANGU NI MWIKO,
SHIKAMOO NDUGU MWALIMU"

Hawa mafisadi hayo yote wameyasau ndio maana wana fitina katika kuhujumu uchumi wetu wananchi.
 
Kuna hii hapa ambayo tuliitumia;

"NITASEMA KWELI DAIMA,
FITINA KWANGU NI MWIKO,
SHIKAMOO NDUGU MWALIMU"

Hawa mafisadi hayo yote wameyasau ndio maana wana fitina katika kuhujumu uchumi wetu wananchi.

Unajua mafisadi walikuja na kuua MIIKO ya Uongozi. Si mnakumbuka ahadi za mwanatanu enzi hizo. Hafu hao mafisadi utafikiri awakuimba zile nyimbo za kuonyeshe allegency kwa nchi yetu na Bendera ya taifa? Si huwa wanaimba Mungu Ibariki. Kazi Kubeba misaafu na Kuapa kwa Imani za dini wakati ndani ya mioyo yao hawana hata chembe ya hofu ya Mungu.Bini yao ni matumbo yao, familia zao, wapambe wao, nyumba ndogo zao etc. Hivi tukiwaita hawa jamaa kwamba "hawana Dini" nao watapiga kelele? Vile viapo wanavyoapa huwa ni maigizo au just by default lazima wabebe vitabu vitakatifu?

Naona kuna haja kumleta Ombudsman wa China alete hile adhabu ya wara rushwa....Mtanisamehe Human Rights Activists...Wabunge mnaubavu wa kuimport ile adhabu ya kichina?

"Cosmetic politics" kule Dodomya hawawezi wale kuleta mabadiliko nchi hii
 
...KILA SIKU ASUBUHI MASHULE YOTE TLIPANDISHA BENDERA YA TAIFA NA YA CHAMA [CHA MAPINDUZI]..KWA SALUTI...HUKU BENDI YA SHULE IKIPIGA...NILIKUWA MPIGA NGOMA KUBWA[MAPIGO SABA]...KILA SHULE ENZI HIZO ILIKUWA LAZIMA KUWA NA BENDI...[WAMEHARIBU SIKU HIZI..NASIKIA]

BASI TULIKIMBIA MCHAKA MCHAKA ...BAADA YA HAPO GWARIDE..THEN TUNATOA KIAPO CHA UTIII..[KUMBUKENI SUPREMACY OF THE PARTY...]..

TULIAPA HIVI.....

KIAPO CHA CHIPUKIZI KIAPO[kiongozi wa gadi]

KIAPOOO...[WOTE]


WEWE NI NANI....[kiongozi]

mimi CHIPUKIZI WA CHAMA CHA MAPINDUZI ..

NAKITUMIAKIA CHAMA CHANGU CHA MAPINDUZI...

VIONGOZI WETU NI NANIII??? [kiongozi]

NYERERE NA ABDUL JUMBE....[WOTE]

[baadaye waliapa ..nyerere na mwinyi....then ikaja mwinyi na warioba..etc]

MARA KWA MARAAAAA...MUNGU SAIDIA!

.......Kweli malezi kipindi kile yalikuwa ya kijamaa.....lakini yalituunganisha!!

sidhani kama watoto wa leo ukiwaambia waape kwa jina ..la KIKWETE NA KARUME...WATAKUBALI..!!..sio ajabu ukiwauliza viongozi wako ni nani???..wakakujibu.....KIKWETE NA MAFISADI.....[jokin]
 
Mimi napendekeza salamu iwe hii
"MAFISADI WOTE WANYONGWE"
"SHKAMOO MWALIMU"
 
Je mnakumbuka vijana tulivyojengwa kimaadili kupitia salamu za darasani wakati mwalimu akiingia:

" Siasa ya Ubaguzi wa Rangi ni Unyama...Shikamoo mwalimu". Je kuna haja ya kuja na salamu mpya hili kuelemisha kizazi hiki kuhusu mmomonyoko wa maadili Tanzania?

Mfano kuna haja ya kurudisha hiyo salamu kwa kuibadilisha kidogo mfano:" siasa ya kunyanyapaa kikabila ni Unyama......."

Naomba kuwakilisha Hoja.

Shadow.

Hivi siku hizi wanatumia kibwagizo gani kabla ya salamu?
 
MAFISADI BILA TANZANIA INAWEZEKANA,VIONGOZI WAJINGA BILA TANZANIA INAWEZEKANA,Shkamooooo mwaalimu! Naona hii itakuwa njema
 
...KILA SIKU ASUBUHI MASHULE YOTE TLIPANDISHA BENDERA YA TAIFA NA YA CHAMA [CHA MAPINDUZI]..KWA SALUTI...HUKU BENDI YA SHULE IKIPIGA...NILIKUWA MPIGA NGOMA KUBWA[MAPIGO SABA]...KILA SHULE ENZI HIZO ILIKUWA LAZIMA KUWA NA BENDI...[WAMEHARIBU SIKU HIZI..NASIKIA]

BASI TULIKIMBIA MCHAKA MCHAKA ...BAADA YA HAPO GWARIDE..THEN TUNATOA KIAPO CHA UTIII..[KUMBUKENI SUPREMACY OF THE PARTY...]..

TULIAPA HIVI.....

KIAPO CHA CHIPUKIZI KIAPO[kiongozi wa gadi]

KIAPOOO...[WOTE]


WEWE NI NANI....[kiongozi]

mimi CHIPUKIZI WA CHAMA CHA MAPINDUZI ..

NAKITUMIAKIA CHAMA CHANGU CHA MAPINDUZI...

VIONGOZI WETU NI NANIII??? [kiongozi]

NYERERE NA ABDUL JUMBE....[WOTE]

[baadaye waliapa ..nyerere na mwinyi....then ikaja mwinyi na warioba..etc]

MARA KWA MARAAAAA...MUNGU SAIDIA!

.......Kweli malezi kipindi kile yalikuwa ya kijamaa.....lakini yalituunganisha!!

sidhani kama watoto wa leo ukiwaambia waape kwa jina ..la KIKWETE NA KARUME...WATAKUBALI..!!..sio ajabu ukiwauliza viongozi wako ni nani???..wakakujibu.....KIKWETE NA MAFISADI.....[jokin]

Philemon, Umenikumbusha mbali. Nami nilikuwa kwenye bendi ya shule ...basi nakumbuka tulivyokuwa tunawahi hiyo ngoma kubwa tulikuwa tuinaiita 'mdundo'.

Kuna mtoto wa jamaa yangu anasoma hizi shule za kisasa " academia" kaja mbio yuko darasa la tano anasema " baba, baba, tumefundishwa wimbo mpya leo ...Tazama ramani utaona nchi nzuri..." nilishangaa sana nikasema mbona hayo mambo yalikuwa ya kawaida enzi kuimba patriotic song toka shule za 'vidudu' je ni kizazi kipya kinapotea njia au ndo mambo ya Generation X.
 
MAFISADI BILA TANZANIA INAWEZEKANA,VIONGOZI WAJINGA BILA TANZANIA INAWEZEKANA,Shkamooooo mwaalimu! Naona hii itakuwa njema

ahahahaah mzee hii imetulia. Natumaini waziri wa elimu anatusoma hapa. Mama Waziri 6, naomba uijadili hii kwenye 'cabinet meeting' jumatatu.
 
ahahahaah mzee hii imetulia. Natumaini waziri wa elimu anatusoma hapa. Mama Waziri 6, naomba uijadili hii kwenye 'cabinet meeting' jumatatu.


Ndio maanake mkuu.Si rahisi mafisadi na viongozi wabovu kuisha duniani.Lakini si lazima wawepo Tanzania.Ndio maana Tanzania bila hawa inawezekana!
 
Ndio maanake mkuu.Si rahisi mafisadi na viongozi wabovu kuisha duniani.Lakini si lazima wawepo Tanzania.Ndio maana Tanzania bila hawa inawezekana!

Mkuu, Nakubalina na wewe... Vita hii mwisho wake ni ushindi kwa wananchi.suala la kujiuliza ni lini ushindi huo utapatikana?
 
Je mnakumbuka vijana tulivyojengwa kimaadili kupitia salamu za darasani wakati mwalimu akiingia:

" Siasa ya Ubaguzi wa Rangi ni Unyama...Shikamoo mwalimu". Je kuna haja ya kuja na salamu mpya hili kuelemisha kizazi hiki kuhusu mmomonyoko wa maadili Tanzania?

Mfano kuna haja ya kurudisha hiyo salamu kwa kuibadilisha kidogo mfano:" siasa ya kunyanyapaa kikabila ni Unyama......."

Naomba kuwakilisha Hoja.

Shadow.

Tunaweza pia kuibadili kidogo ikawa hivi: - "Siasa ya kunyanyapaa kikabila na kidini ni Unyama ...."
 
Na siku hizi tungeanza na salamu "ufisadi ni unyama shikamoo mwalimu.
 
...KILA SIKU ASUBUHI MASHULE YOTE TLIPANDISHA BENDERA YA TAIFA NA YA CHAMA [CHA MAPINDUZI]..KWA SALUTI...HUKU BENDI YA SHULE IKIPIGA...NILIKUWA MPIGA NGOMA KUBWA[MAPIGO SABA]...KILA SHULE ENZI HIZO ILIKUWA LAZIMA KUWA NA BENDI...[WAMEHARIBU SIKU HIZI..NASIKIA]

BASI TULIKIMBIA MCHAKA MCHAKA ...BAADA YA HAPO GWARIDE..THEN TUNATOA KIAPO CHA UTIII..[KUMBUKENI SUPREMACY OF THE PARTY...]..

TULIAPA HIVI.....

KIAPO CHA CHIPUKIZI KIAPO[kiongozi wa gadi]

KIAPOOO...[WOTE]


WEWE NI NANI....[kiongozi]

mimi CHIPUKIZI WA CHAMA CHA MAPINDUZI ..

NAKITUMIAKIA CHAMA CHANGU CHA MAPINDUZI...

VIONGOZI WETU NI NANIII??? [kiongozi]

NYERERE NA ABDUL JUMBE....[WOTE]

[baadaye waliapa ..nyerere na mwinyi....then ikaja mwinyi na warioba..etc]

MARA KWA MARAAAAA...MUNGU SAIDIA!

.......Kweli malezi kipindi kile yalikuwa ya kijamaa.....lakini yalituunganisha!!

sidhani kama watoto wa leo ukiwaambia waape kwa jina ..la KIKWETE NA KARUME...WATAKUBALI..!!..sio ajabu ukiwauliza viongozi wako ni nani???..wakakujibu.....KIKWETE NA MAFISADI.....[jokin]

philemoni,,, mwana wa mikaeli,,,,wacha hiyo. Jamani wakati huo huko kijijini, mzee mmoja aliangukiwa na jiwe kisa wimbo wa taifa. Ile inaanza tu,,,,,, Mungu ibariki Tanzaniaaaaa,,, Mzee wa watu kaachia mawe aliyoyabeba akaangukiwa na jiwe lakini hakulia mpaka wimbo unaisha! Nakumbuka pale shuleni kwetu,,, pale aulizwe Gabriel Mkamba anakumbuka vizuri huyu,,, kaka mkuu wa shule,,, alikuwa kimbelemble sana siku hizo,,, yuko wapi sijui na manispaa gani huko dsm.

Pamoja na viapo vyote lakini naamini kuwa hawa bongo fleva wetu hawajui hata waziri wa mambo ya ndani wa Tanzania yetu. Labda Salamu itakayofuta:-
MAFISADI TANZANIA WAFANYWEJE? labda sijui,,, nasema sijui,,,,
 
philemoni,,, mwana wa mikaeli,,,,wacha hiyo. Jamani wakati huo huko kijijini, mzee mmoja aliangukiwa na jiwe kisa wimbo wa taifa. Ile inaanza tu,,,,,, Mungu ibariki Tanzaniaaaaa,,, Mzee wa watu kaachia mawe aliyoyabeba akaangukiwa na jiwe lakini hakulia mpaka wimbo unaisha! Nakumbuka pale shuleni kwetu,,, pale aulizwe Gabriel Mkamba anakumbuka vizuri huyu,,, kaka mkuu wa shule,,, alikuwa kimbelemble sana siku hizo,,, yuko wapi sijui na manispaa gani huko dsm.

Pamoja na viapo vyote lakini naamini kuwa hawa bongo fleva wetu hawajui hata waziri wa mambo ya ndani wa Tanzania yetu. Labda Salamu itakayofuta:-
MAFISADI TANZANIA WAFANYWEJE? labda sijui,,, nasema sijui,,,,

mimi napendekeza kwamba hiwe " ufisadi na unyanyapaa kikabila na kidini ni unyama...shikamoo mwalimu"!!
 
Back
Top Bottom