Mnaionaje hii show ya "Refresh" kutoka Wasafi Tv?

Mnaionaje hii show ya "Refresh" kutoka Wasafi Tv?

Show inaanza SAA ngapi tuhakikishe!
Usije ukawa we ndio Sallam SK unakuja kuipa promo hapa
 
Kila mtu na anachopenda kikubwa tuheshimiane tu kama wewe mzungu wakati ngozi yako nyeusi kimpango wako
ovaaa
 
Watoto wa Kishua utawajua tu,yani mi niache kumuangalia Zembwela na uswazi yake au mizengwe niangalie wakina MariaRosa sijui wakina Angelo hahahahaha haiwezekani...
Niache kuangalia dakika 10 za maangamizi na sizi kitaa?
 
Watoto wa Kishua utawajua tu,yani mi niache kumuangalia Zembwela na uswazi yake au mizengwe niangalie wakina MariaRosa sijui wakina Angelo hahahahaha haiwezekani...
[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji23][emoji3][emoji6][emoji6][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]yaani channel za kibongo house girl wangu ndo anaangalia
 
Yaani na diego sanchez.
Nikimaliza hapo kwa Manuel na Maria Fernanda [emoji23][emoji23][emoji23]
Ni vitu gani hivyo!!?

Loh! Kweli umri umenitupa.

Romanza ni kinini!?
 
Wasafi TV hawana budi kuwa wabunifu sanaa...sanaa...

They need to make a difference.

Siku hizi TV za ndani wengi twatizama taarifa ya habari tu.
 
Back
Top Bottom