Kweli Simba Fc wa mchangani
Sent from my Apple iPhone 5s using JamiiForums Auto-reply Mobile app
Punguza povu mtaniMkuu huoni nyasi asilia hizo? acheni zarau ninyi. Afadhali yetu kuliko yanga yenu waliopo kinesi stadium.
Punguza povu mtani
Sent from my Apple iPhone 5s using JamiiForums Auto-reply Mobile app
nimeziona ila duuuhKwa zarau zenu hizi povu litaachaje kutoka? Mtani inamaana hujaziona nyasi hizo? hebu jaribu kuzoom basi.
Mbona wapo SA kwenye uwanja mbovu kama unavyopendekeza weweKuweka kambi nje ya nchi ni ufujaji wa pesa kwa nini wasiweke kambi kwenye mikoa mbali mbali ili kuzoea ubovu wa viwanja vyetu? Unazoea viwanja vizuri vya majuu ukirudi unakuja kupiga ligi kwenye viwanja vilivojaa mashimo na vichuguu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata huko walikoenda wanafanya mazoezi ktk viwanja vya chandimu ndugu.....Kuweka kambi nje ya nchi ni ufujaji wa pesa kwa nini wasiweke kambi kwenye mikoa mbali mbali ili kuzoea ubovu wa viwanja vyetu? Unazoea viwanja vizuri vya majuu ukirudi unakuja kupiga ligi kwenye viwanja vilivojaa mashimo na vichuguu
Sent using Jamii Forums mobile app