Mnaionaje Kambi ya Simba SC huko Afrika Kusini?

Mnaionaje Kambi ya Simba SC huko Afrika Kusini?

demigod

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2015
Posts
8,292
Reaction score
15,250
Habari zenu wanajamnvi.

Leo watani zangu wamenitumia picha ya kikosi chao kikiwa kinajifua vilivyo huko Johannesburg, South Africa. Wakijinasibu kuwa wako tayari kabisa kuwavaa Yanga ya Kimataifa.


75a1e84f2e9e35df72f91406c5bad483.jpg

fe71e62917874571e2895aadcfffb51c.jpg

Picha:Simba wakiwa mazoezini Johannesburg, South Africa.

433ff0f3768eacaff008e74fd5798d4c.jpg

Picha:Yanga ya Kimataifa ikiwa kambini Uturuki miaka kadhaa iliyopita.

Binafsi nawatakia maandalizi mema watani zangu huko South Africa.[emoji23][emoji23]
 
Kweli Simba Fc wa mchangani

Sent from my Apple iPhone 5s using JamiiForums Auto-reply Mobile app
 
Kweli Simba Fc wa mchangani

Sent from my Apple iPhone 5s using JamiiForums Auto-reply Mobile app

Mkuu huoni nyasi asilia hizo? acheni zarau ninyi. Afadhali yetu kuliko yanga yenu waliopo kinesi stadium.
 
Mkuu huoni nyasi asilia hizo? acheni zarau ninyi. Afadhali yetu kuliko yanga yenu waliopo kinesi stadium.
Punguza povu mtani

Sent from my Apple iPhone 5s using JamiiForums Auto-reply Mobile app
 
Kuweka kambi nje ya nchi ni ufujaji wa pesa kwa nini wasiweke kambi kwenye mikoa mbali mbali ili kuzoea ubovu wa viwanja vyetu? Unazoea viwanja vizuri vya majuu ukirudi unakuja kupiga ligi kwenye viwanja vilivojaa mashimo na vichuguu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Punguza povu mtani

Sent from my Apple iPhone 5s using JamiiForums Auto-reply Mobile app

Kwa zarau zenu hizi povu litaachaje kutoka? Mtani inamaana hujaziona nyasi hizo? hebu jaribu kuzoom basi.
 
Nimetoka mji mwingine kuja kuwaona ndugu zangu wa Tanzania mji huu waliofikia kufanya mazoezi ni sawa na timu iende kule kigoma au mtwara(kwetu) au Lindi kwa ajili ya maandilizi.
Yaani n upuuzi mtupu maana nimepoteza hela zangu kwa ajili ya hii kabumbu
 
Kwa zarau zenu hizi povu litaachaje kutoka? Mtani inamaana hujaziona nyasi hizo? hebu jaribu kuzoom basi.
nimeziona ila duuuh

Sent from my Apple iPhone 5s using JamiiForums Auto-reply Mobile app
 
Kuweka kambi nje ya nchi ni ufujaji wa pesa kwa nini wasiweke kambi kwenye mikoa mbali mbali ili kuzoea ubovu wa viwanja vyetu? Unazoea viwanja vizuri vya majuu ukirudi unakuja kupiga ligi kwenye viwanja vilivojaa mashimo na vichuguu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona wapo SA kwenye uwanja mbovu kama unavyopendekeza wewe

Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
 
Kuweka kambi nje ya nchi ni ufujaji wa pesa kwa nini wasiweke kambi kwenye mikoa mbali mbali ili kuzoea ubovu wa viwanja vyetu? Unazoea viwanja vizuri vya majuu ukirudi unakuja kupiga ligi kwenye viwanja vilivojaa mashimo na vichuguu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata huko walikoenda wanafanya mazoezi ktk viwanja vya chandimu ndugu.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom