Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Hivi chura fc wao wameweka kambi wapi?Mbona wapo SA kwenye uwanja mbovu kama unavyopendekeza wewe
Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
Yule mrefu ndiyo Niyonzima ama?
Sauzi afrika babuu ni hatare ndo wanacheza kwenye vumbiii[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Eti ili wazoee viwanja vya Bongo...? Nimecheka Ki***nge yaani..Sauzi afrika babuu ni hatare ndo wanacheza kwenye vumbiii[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Sent using Jamii Forums mobile app
Walichokifuata kule ni kuzoea tu viwanja hakuna kingine....KINESI ilikuwa kwenye ratiba ya NdondoCup.Heri wangebaki kwa mtogole tu
Wameharibu hela bure [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuweka kambi nje ya nchi ni ufujaji wa pesa kwa nini wasiweke kambi kwenye mikoa mbali mbali ili kuzoea ubovu wa viwanja vyetu? Unazoea viwanja vizuri vya majuu ukirudi unakuja kupiga ligi kwenye viwanja vilivojaa mashimo na vichuguu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi mtwara unaijua vizuri au unaiskia tu? acha stereotyping nakushauri nenda mtwara kajionee mwenyewe mambo yanavyoenda....usilete dharau za kichaga!Nimetoka mji mwingine kuja kuwaona ndugu zangu wa Tanzania mji huu waliofikia kufanya mazoezi ni sawa na timu iende kule kigoma au mtwara(kwetu) au Lindi kwa ajili ya maandilizi.
Yaani n upuuzi mtupu maana nimepoteza hela zangu kwa ajili ya hii kabumbu
Hawa viongozi wa soka bongo hamnazo kabisaKuweka kambi nje ya nchi ni ufujaji wa pesa kwa nini wasiweke kambi kwenye mikoa mbali mbali ili kuzoea ubovu wa viwanja vyetu? Unazoea viwanja vizuri vya majuu ukirudi unakuja kupiga ligi kwenye viwanja vilivojaa mashimo na vichuguu
Sent using Jamii Forums mobile app