Mnaishi nao vipi huko maofisini kwenu?

Mnaishi nao vipi huko maofisini kwenu?

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
25,258
Reaction score
48,589
Yaani unakuta PS wa boss ni wa kiume alafu anakuwa na kiherehere, sehemu hausiki teyari kashaleta mdomo yaani kama na yeye ni boss, yaani anavaa vyeo vya boss nae anakuwa boss.

Mfano huyu wa kwetu akiona hana kazi bas anakuja mpaka sehemu ambazo yeye hausiki anakuja anafoka sana mara oh mbna hapo pamekaa vibaya mbna hamjapanga mara kile sio mahali pake.

Kikinunuliwa kitu anakuja kutoa msisitizo ole wenu mharibu na hiki pia yaani na shida anapenda kutukuzwa kazi anakuja kuwasimamia ase ni kichomi af mwanaume
 
yaani unakuta pc wa boss ni wakiume af anakuwa na kihelehele sehemu hausiki teyari kashaleta mdomo yaani kama na yeye ni boss yaan anavaa vyeo vya boss nae anakuwa boss mfano huyu wa kwetu akiona hana kazi bas anakuja mpaka sehemu ambazo yeye hausiki anakuja anafoka sana mara oh mbna hapo pamekaa vibaya mbna hamjapanga mara kile sio mahali pake kikinunuliwa kitu anakuja kutoa msisitizo olewenu mharibu na hiki pia yaani nashida anapenda kutukuzwa kazi anakuja kuwasimamia ase ni kichomi af mwanaume
Atakuwa Wana mpddy
 
Sijaelewa hicho cheo cha PC. Lakini inaonekana ni msaidizi wa Boss, na amekuzidi cheo.

Kuna kanuni moja inasema Usipo jituma utatumwa. Usipo jisimamia utasimamiwa. Kwa uzoefu wangu wabongo wengi ni kama hatupendi kujituma na hatupendi kuambiwa au kukosolewa. Sasa mkipata mtu ambaye anasimamia kazi ziende mna muita kiherehere. Ila ungefanya kazi na wazungu au wachina ndo ungejua haujui.

Kama anachosema ni lweli na kina mantiki basi inabidi mmuheshimu sana huyo PC
 
yaani unakuta pc wa boss ni wakiume af anakuwa na kihelehele sehemu hausiki teyari kashaleta mdomo yaani kama na yeye ni boss yaan anavaa vyeo vya boss nae anakuwa boss mfano huyu wa kwetu akiona hana kazi bas anakuja mpaka sehemu ambazo yeye hausiki anakuja anafoka sana mara oh mbna hapo pamekaa vibaya mbna hamjapanga mara kile sio mahali pake kikinunuliwa kitu anakuja kutoa msisitizo olewenu mharibu na hiki pia yaani nashida anapenda kutukuzwa kazi anakuja kuwasimamia ase ni kichomi af mwanaume
Pole sana
 
Back
Top Bottom