Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Dawa yake apelekwe kwa P DdiyVipi unaitakaa wee hiyo Nafasii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ilaa Mwachii, Lol
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dawa yake apelekwe kwa P DdiyVipi unaitakaa wee hiyo Nafasii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ilaa Mwachii, Lol
ee huyu kazid ase ata ukimpelekea fail CO asain anapeleka mda anao jisikiaPole mno , ndio changamoto za kazi.
Hvi pc ndiye private computer wa boss?
nitakula wapi?Acha kazi bro 😹
mfagiaji wa ofisWewe cheo chako ni kipi hapo ofisini?
Njoo kwangu ulenitakula wapi?
ni ps nilikuwa namaanishaSijaelewa hicho cheo cha PC. Lakini inaonekana ni msaidizi wa Boss, na amekuzidi cheo.
Kuna kanuni moja inasema Usipo jituma utatumwa. Usipo jisimamia utasimamiwa. Kwa uzoefu wangu wabongo wengi ni kama hatupendi kujituma na hatupendi kuambiwa au kukosolewa. Sasa mkipata mtu ambaye anasimamia kazi ziende mna muita kiherehere. Ila ungefanya kazi na wazungu au wachina ndo ungejua haujui.
Kama anachosema ni lweli na kina mantiki basi inabidi mmuheshimu sana huyo PC
nao ni kichomi kuacha kazi yake anakuja kwako au anakutaka?Mim kuna kaka anapenda kazi yangu ananikera mbwa yule kesho namuwashia moto,halifanyi kazi yake watu sijui wapoje
hana ata hayo maisha kiukweli nikikaza kidog ty nampita ni kivile mm ni mgeni.tuhalafu huwezi amini hao machawa wanakuwa na maisha kuliko nyie au sisi ma lowkey 😀
wabongo tulivyo nikila siku mbili.siku ya tatu nakuja kuazishiwa threadNjoo kwangu ule
Siku mbili zote hizo, day 1 tu ukichukua slice za mkate zaidi ya 3 kuna thread yako ujue.....wabongo tulivyo nikila siku mbili.siku ya tatu nakuja kuazishiwa thread
Kama hivyo ndivyo basi kubali yaishe tu. Ila ungekuwa ni Afisa Una ofisi yako hapo kazini secretary wa boss ni ndezi Tu.mfagiaji wa ofis
Kuna msemo unasema TATIZO SIO BOSS TATIZO WAPAMBE NUKSI😝😝😄😄 mkuu hao wapo Kila konayaani unakuta ps wa boss ni wakiume af anakuwa na kihelehele sehemu hausiki teyari kashaleta mdomo yaani kama na yeye ni boss yaan anavaa vyeo vya boss nae anakuwa boss mfano huyu wa kwetu akiona hana kazi bas anakuja mpaka sehemu ambazo yeye hausiki anakuja anafoka sana mara oh mbna hapo pamekaa vibaya mbna hamjapanga mara kile sio mahali pake kikinunuliwa kitu anakuja kutoa msisitizo olewenu mharibu na hiki pia yaani nashida anapenda kutukuzwa kazi anakuja kuwasimamia ase ni kichomi af mwanaume
acha tu ngoja nipambane tu nduguSiku mbili zote hizo, day 1 tu ukichukua slice za mkate zaidi ya 3 kuna thread yako ujue.....
ila nitapata tu cheo Mungu mwemaKama hivyo ndivyo basi kubali yaishe tu. Ila ungekuwa ni Afisa Una ofisi yako hapo kazini secretary wa boss ni ndezi Tu.
yaani acha tu ni shidaKuna msemo unasema TATIZO SIO BOSS TATIZO WAPAMBE NUKSI😝😝😄😄 mkuu hao wapo Kila kona
ndio kifwatachoHit ignore button.....wala msiangaike nae
Wavumilie, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanakera
Wee em semaa kwelii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dawa yake apelekwe kwa P Ddiy