Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
hapana na siwez kufika uko kabisa ila ni kwamba anatukela sana ni kiheleheleVipi unaitakaa wee hiyo Nafasii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ilaa Mwachii, Lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aaaah wee.hapana na siwez kufika uko kabisa ila ni kwamba anatukela sana ni kihelehele
Atakuwa Wana mpddyyaani unakuta pc wa boss ni wakiume af anakuwa na kihelehele sehemu hausiki teyari kashaleta mdomo yaani kama na yeye ni boss yaan anavaa vyeo vya boss nae anakuwa boss mfano huyu wa kwetu akiona hana kazi bas anakuja mpaka sehemu ambazo yeye hausiki anakuja anafoka sana mara oh mbna hapo pamekaa vibaya mbna hamjapanga mara kile sio mahali pake kikinunuliwa kitu anakuja kutoa msisitizo olewenu mharibu na hiki pia yaani nashida anapenda kutukuzwa kazi anakuja kuwasimamia ase ni kichomi af mwanaume
Atakuwa Ps huyoπHvi pc ndiye private computer wa boss?
πππKumbe alikuwa n maana ya Ps? Ooh hapo sawaAtakuwa Ps huyoπ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wee De huogopiii?Mim kuna kaka anapenda kazi yangu ananikera mbwa yule kesho namuwashia moto,halifanyi kazi yake watu sijui wapoje
Pole sanayaani unakuta pc wa boss ni wakiume af anakuwa na kihelehele sehemu hausiki teyari kashaleta mdomo yaani kama na yeye ni boss yaan anavaa vyeo vya boss nae anakuwa boss mfano huyu wa kwetu akiona hana kazi bas anakuja mpaka sehemu ambazo yeye hausiki anakuja anafoka sana mara oh mbna hapo pamekaa vibaya mbna hamjapanga mara kile sio mahali pake kikinunuliwa kitu anakuja kutoa msisitizo olewenu mharibu na hiki pia yaani nashida anapenda kutukuzwa kazi anakuja kuwasimamia ase ni kichomi af mwanaume
Wanakera[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wee De huogopiii?
hapana haipo ivyiNa ndio wapo wengi sana.Kiakili na kuwa smart tu ,sasa mtu unakaa juu ya meza sababu ya ulegevu wako usiambiwe.
ππAtakuwa Wana mpddy