Ubaya Ubwela
JF-Expert Member
- Jul 24, 2024
- 1,353
- 3,060
Acha kibubu kijaejae kipige picha Nendankwa Fundi akuchongee kama hicho kile cha mkeo kiibe hicho kipya kiwekee makaratsi na mawe, alafu kausha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ko sasa yeye kama ela yake haina kazi kuna umuhimu gani wa kujishugulisha?Ukiamua kuingia huko ndani mwanaume kama mwanaume juwa wewe ndiyo injini ya familia nzima,kila huduma itapatikana humo ndani lakini atakayeonekana ni mwanamke,kubaliana na hali ilivyo.
unajua hata kibiznez nimekisapot ili service ndogo ndogo azipate? sasa hata izo hatak nunuaJukumu la utafutaji ni la mwanaume. Timiza wajibu wako.
Bora akae nyumbani ujipigie Nyapu tu. Maana hizo hela hazina faida yoyote.Ko sasa yeye kama ela yake haina kazi kuna umuhimu gani wa kujishugulisha?
Ulikosea. Alipaswa akae nyumbani alee familia.unajua hata kibiznez nimekisapot ili service ndogo ndogo azipate? sasa hata izo hatak nunua
Ni upumbavu wa kiwango cha juu kuishi na watu wa aina hii ukijidanganya kua ni mke.Bora akae nyumbani ujipigie Nyapu tu. Maana hizo hela hazina faida yoyote.
Bado yupo home kuna kazi kaletewa aishone mkuu ni fundi, kapata wateja wawili pesa zote katia katika kibubu. nilikua na lengo nitafute frem kabisa lakini kwa hii tabia naanza kua na wasiwasiUlikosea. Alipaswa akae nyumbani alee familia.
Kazi kweli kweli,Yeye kufanya kazi ni jambo zuri na lenye maana kwenu nyote,sababu mwanaume kuna siku labda anaweza kupata dharura,ikiwa mwanamke anafanya kazi inakuwa afadhali,lakini kama ndiyo hela yake haitumiki kwa nyumba,kuna kila sababu ya kukaa naye na umuulize anafanya kazi kwa madhumuni gani?Ko sasa yeye kama ela yake haina kazi kuna umuhimu gani wa kujishugulisha?
tunaishi kwa kujifunza humu tupo watu wa aina tofauti tofauti. sijaja kiulalamishi nimekuja kupata maarifaTofauti yako na wengine wenzako hawalalamiki hadharanii maana Ukidhani wako tu ndo yulo hivyo akili yako haijakomaa kuishi na mwanamke bado.. Kajipange upya.
nimempigia ilo swali asubui hajajibu kitu.Kazi kweli kweli,Yeye kufanya kazi ni jambo zuri na lenye maana kwenu nyote,sababu mwanaume kuna siku labda anaweza kupata dharura,ikiwa mwanamke anafanya kazi inakuwa afadhali,lakini kama ndiyo hela yake haitumiki kwa nyumba,kuna kila sababu ya kukaa naye na umuulize anafanya kazi kwa madhumuni gani?
Nmecheka kinyamaaaanunua kibubu kipya umbadirishie.Atajua chum ulete
Mshikaji wangu alikuwa na Demu wa Arusha, kama unavyojua mademu kulalamika ooh maisha magumu.Ni upumbavu wa kiwango cha juu kuishi na watu wa aina hii ukijidanganya kua ni mke.
Good Insighttunaishi kwa kujifunza humu tupo watu wa aina tofauti tofauti. sijaja kiulalamishi nimekuja kupata maarifa
Lakini pia kuna Tabia za Wanaume kutumia pesa zao vibaya huku wakitegemea za Nwanamke. Hii hali inakela ndio maana mwanamke anajiwekea kaubahili ili ije kumsaidia baadaeAiseee, hapo umeteseka bro, bila kusimama kama mwanaume, umekwisha! Kuna bro wangu, nae mkewe alikuwa na mambo ya hvyo, mtaji kapewa na bro, ila hata mia yake mbovu, bro haruhusiwi kuigusa, bro alichokifanya, ni kuwa anamuibia, mke alijitahd kuficha lakn wapi, jamaa anakung'uta mabegi, pekua kila mahali, mwisho anazipata, jamaa anaenda kuenjoy na wadau, maana alisema anataka amnyooshe ili aingie kwenye mstari! Mwisho mwanamke alinyooka, siku hiz jamaa akikwama mwanamke anamukwamua.
Ndio maana nimemuuliza we ela unayorundika katika kibubu ya nini? kabaki kimya. nikamwambia fumua kibubu weka ela itumike hutaki utafanya nauli Urudi kwenu nikafunga mjadala.Mshikaji wangu alikuwa na Demu wa Arusha, kama unavyojua mademu kulalamika ooh maisha magumu.
Sasa Mshikaji naye mpenda Nyapu sana.
Ikawa akipata mshiko jamaa anatuma. Huku Demu ana vibiashara vyake vya kuuza nguo na Kucheza upatu.
Baada ya miaka mitano ya mahusiano Demu ameshajenga Nyumba kali nyumbani kwao. Mshikaji hata Kiwanja hana.
😅😅😅
Ukijifanya una huruma sana kwa wanawake utashangaa miana inaenda huku unalalamikia CCM maisha magumu.
Unakuja kushtuka umegonga 40
Dah..wewe ni legend..nunua kibubu kipya umbadirishie.Atajua chum ulete
Ngona tuone matokeo ya kauli yako kama atadharau au atatekelezaNdio maana nimemuuliza we ela unayorundika katika kibubu ya nini? kabaki kimya. nikamwambia fumua kibubu weka ela itumike hutaki utafanya nauli Urudi kwenu nikafunga mjadala.