Muuza madafu wa Ikulu
JF-Expert Member
- Feb 21, 2024
- 1,277
- 2,888
Aiseeeeenunua kibubu kipya umbadirishie.Atajua chum ulete
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseeeeenunua kibubu kipya umbadirishie.Atajua chum ulete
Hahaaaaaa hatari. Kweli wewe ni Ubaya UbwelaAcha kibubu kijaejae kipige picha Nendankwa Fundi akuchongee kama hicho kile cha mkeo kiibe hicho kipya kiwekee makaratsi na mawe, alafu kausha
Baadae wanataka mgawane mali wote sawa sababu metafuta wote😀😀Wanawake wabinafsi sana Kwenye Swala la Kipato na Mali.
Mwanamke chake chake,
Cha Mwanaume pia chake... Hawa watu wabinafsi sana
pole sana mkuu ila naamin bdo hujachelew chamsing anza kumfilis talatibu hakikisha anakuwa mtegemez kwak kwa kila kit.we acha tu mkuu kutojua mindset yake. nilijua ni muelewa.
Sio wote...wengine wana nyoyo safi unless umeenda kuoa upareni ama uchaganiWanawake wabinafsi sana Kwenye Swala la Kipato na Mali.
Mwanamke chake chake,
Cha Mwanaume pia chake... Hawa watu wabinafsi sana
Umemruhusu mwenyewe kwa sababu ya udhaifu wako. Kazi ya mwanamke ni malezi ya familia, siyo utafutaji.Sasa kama nihivo kwa nini nae(mwanamke) anaamka Saa 5AM anarudi jion 6PM kwakigezo alikua kazini. Hio kazi faida yake ni nini kwenye familia?.
Basi huo udhaifu wa jamaa zako usiuige.Bado sijaoa. Lakini nayaona kwa jamaa zangu. Ntaoa nikiwa Mzee wa miaka 60.
Kunakuwa hakuna maana ya yeye kutoka kwenda kutafuta. Akae hapo home alee watoto nkMna bahati mbaya kupata watu wabinafsi namna hiyo, nina ndugu yangu nae the same...hata chumvi, hata akipita sokoni akanunua groceries, akirudi home jamaa atapewa bill yote. Nikimuuliza shem yeye anachangia nini jamaa anasema hakuna hata....
....mimi nikamwambia itakuwa alimlea hivyo, matokeo yake ndio hayo. If you wake up at 5am, come back at 6pm...halafu uniletee hizo pigo, utakaa home ulee watoto.
Mkataze asifanye kazi, akibisha achana naye aendelee na maisha yake maana ameshindwa Ku submit kama mke. Baadaye atakuja kugundua kuwa pesa siyo kila kitu japo inatatua mambo mengiHapo namba 3. ndo nitamuharibu kabisa mkuu sababu ameshaingia roho ya kiburi. Sasa hapa ndani tutakua watawala wawili. no hii Imposible.
🤣🤣🤣unajua hata kibiznez nimekisapot ili service ndogo ndogo azipate? sasa hata izo hatak nunua
Aina hii usipokuwa makini unazeeka maskini unakufa hata robo ya ndoto zako hujazifikiaNi upumbavu wa kiwango cha juu kuishi na watu wa aina hii ukijidanganya kua ni mke.
🤣🤣😂Aiseee, hapo umeteseka bro, bila kusimama kama mwanaume, umekwisha! Kuna bro wangu, nae mkewe alikuwa na mambo ya hvyo, mtaji kapewa na bro, ila hata mia yake mbovu, bro haruhusiwi kuigusa, bro alichokifanya, ni kuwa anamuibia, mke alijitahd kuficha lakn wapi, jamaa anakung'uta mabegi, pekua kila mahali, mwisho anazipata, jamaa anaenda kuenjoy na wadau, maana alisema anataka amnyooshe ili aingie kwenye mstari! Mwisho mwanamke alinyooka, siku hiz jamaa akikwama mwanamke anamukwamua.
Wacha bwana!!!If you wake up at 5am, come back at 6pm...halafu uniletee hizo pigo, utakaa home ulee watoto.
Una uhakika hauna michepuko bro ?? Wanawake huwa wabinafsi kwa mwanaume Malaya wanaamini utaenda kuhonga akikupa, kwahiyo atajitunzia kwaajili ya wanae na yeye basi .Kwani huu utaratibu wa cha mwanaume chenu cha mwanamke chake umetoka wapi? No hii kitu sijapenda.
Wife kaanza kushika hela hataki niguse hata mia wala itumike kwa kununua hata robo ya sukari. Kachonga kibubu anaiweka humo zote.
Daah leo nimemkoromea kaanza kumaindi nimemwambia akitaka hayo maisha arudi kwao.
Shukuru una mwanamke mpambanaji anajua kutunza pesa siku ukiwa hoi kitandani atavunja icho kibubu , wenzio wanawake zao wakipata pesa wanawaza mawigi ya laki mbili uko akamtambie shoga ake . Halafu pesa ya mwanamke ni kwaajili ya dharura usiipigie hesabu ivo , na umshauri aweke pesa UTT kibubu kinaweza ibiwaBado yupo home kuna kazi kaletewa aishone mkuu ni fundi, kapata wateja wawili pesa zote katia katika kibubu. nilikua na lengo nitafute frem kabisa lakini kwa hii tabia naanza kua na wasiwasi
Bado hujakomaa kuhusu kuwaelewa wanawake , kwanza inaonyesha unatumia ubabe kuipata pesa ake . Huwezi toboaKwani huu utaratibu wa cha mwanaume chenu cha mwanamke chake umetoka wapi? No hii kitu sijapenda.
Wife kaanza kushika hela hataki niguse hata mia wala itumike kwa kununua hata robo ya sukari. Kachonga kibubu anaiweka humo zote.
Daah leo nimemkoromea kaanza kumaindi nimemwambia akitaka hayo maisha arudi kwao.