Mnaishije bila kwenda kwa mganga wa kienyeji? Una mnatake risk tu mnaumwa na kufa imetoka hiyo?

Mnaishije bila kwenda kwa mganga wa kienyeji? Una mnatake risk tu mnaumwa na kufa imetoka hiyo?

2b9979ee-8f4d-4c80-8fd1-665af1bd4307.jpg
 
Hatuendagi kwa waganga maana YESU ndiye mwanzo na mwisho

Imeandikwa kwenye Biblia kuwa, hakuna uchawi katika Israel Wala uganga katika Yakobo
Tafuta mganga mzuri binti utasahau shida zote.
 
Na yeye mganga wa kienyeji anaenda kwa nani??
 
Back
Top Bottom