Kwetunikwetu
JF-Expert Member
- Dec 23, 2007
- 1,535
- 412
Assignment na maagizo yote anatoa kwa e mail au kimemo na hataki maswali au ufafanuzi wowote. Sasa hapo kazi itaenda kweli??.
Ukimfata oficn anakupa maelezo huku anaendelea kutazama computer yake as if u r rabbish. Ana maudhi kwa kweli. Dunia hii....
Matatizo yake ni mengi sema kinachotukera ni tabia ya kutusemea mbovu kwa bosi na akija ofisini kwetu anatusifia wakati taarifa kutoka kwa bosi ni tofauti. Pia jamaa tulikuw nae ofc moja tunapiga mzigo, sasa iweje kila report na kazi atakayopelekewa anaikashifu na kusema rudia hata mara tano na kama hatuwezi ana watu wake anaowafahamu wngeweza kufnya vizuri zaidi. Kama hiyo haitoshi, hatushirikishi kwenye jambo lolote linlohusu miradi ya dept. yetu, yeye ni kucommand na final say hataki discussion wala maswali. Vikao anaongoza kinguvu nguvu, wkati mwingine ajenda hatuzielewi lakini hatoi ufaanuzi wowote. Tunahisi ana inferiority complex manake katuzidi saana kiumri labda anahofia vijana tutamshinda kimawazo hivyo kupoteza nafasi, yaani hatumuelewi.AU SIE NDO HATUMUELEWI??
Matatizo yake ni mengi sema kinachotukera ni tabia ya kutusemea mbovu kwa bosi na akija ofisini kwetu anatusifia wakati taarifa kutoka kwa bosi ni tofauti. Pia jamaa tulikuw nae ofc moja tunapiga mzigo, sasa iweje kila report na kazi atakayopelekewa anaikashifu na kusema rudia hata mara tano na kama hatuwezi ana watu wake anaowafahamu wngeweza kufnya vizuri zaidi. Kama hiyo haitoshi, hatushirikishi kwenye jambo lolote linlohusu miradi ya dept. yetu, yeye ni kucommand na final say hataki discussion wala maswali. Vikao anaongoza kinguvu nguvu, wkati mwingine ajenda hatuzielewi lakini hatoi ufaanuzi wowote. Tunahisi ana inferiority complex manake katuzidi saana kiumri labda anahofia vijana tutamshinda kimawazo hivyo kupoteza nafasi, yaani hatumuelewi.AU SIE NDO HATUMUELEWI??
Kaka Leornardo,
Hapa ni swala la Psychology tu. Unaweza ukacheza na psychology ya huyo bosi wako na hata ukashangaa akabadilika haraka sana. Ukisoma kitu kinaitwa Manageria Leadership hapa ndipo unaweza ukajua haya yote.
Ni kawaida kabisa haswa kwa sisi waafrika tunapopata vyeo kupenda kuabudiwa, kuogopwa, kuamrisha, kujionyesha mbele za watu na kuona kwamba sheria haziwagusi wao kama viongozi.
Sasa kwako wewe unachoweza kufanya ni kitu kidogo sana, kwanza jinyeyekeze kwake kwa kufanya ajione yeye yupo juu yako na yeye ndio bosi wako. Pili, jaribu kufuata yale anayoyataka yeye na hata kama yuko wrong basi jitahidi kumuelewesha kwa utaratibu (huku ukimsifia sifia).
Tatu, jaribu kuwa unampa feedback za kumsifia, kuonyesha kwamba yeye ni bora na anaweza zaidi na ikibidi kumuonyesha kwamba unamfurahia, be positive kila unapokua nae, msifie, ongea nae kwa kumsifia mara kwa mara. Mwisho jaribu kuwa nae karibu kwa kumpa feedback ya kila unachokifanya na sometimes uwe unaomba ushauri wake kwa mambo madogomadogo ili tu umuweke karibu.
Ukiweza kuyafanya hayo wewe mwenyewe utaona mabadiliko yake. Ni kawaida kwa sisi binadamu kuwapenda sana watu wanao tusifia na kuridhika na tunachokifanya (apreciation)
Mmmh! hapana ila unaweza ku-argue naye kwa kumueleza masuala ambayo hukubaliani nayo kabisa, husitake sana kutishika, lakini pia lazima kuwa makini kwa ushauri wowote utakaouchukua hapaIngia ofisini kwake, funga mlango kwa funguo, then mchape makofi!
hili nalo linaweza kuwa tatizo pia,AU SIE NDO HATUMUELEWI??
Punguza ku-access JF wakati kazi za watu zinaendelea.....JUST KIDDING
Tafuta maneno haya uyaweke ofisini kwako, kisha yafanyie kazi, niliyakuta kwene ofiisi ya mtu flani ivi, siyakumbuki yote
Dear GOD.... wisdom to understand my boss, courage to adhere to his commands....halafu ikaendeleee lakini ikamalizia hivi... do not give me POWER because I may break his Neck!!! )yatafute uyaweke kwenye ofisi
Matatizo yake ni mengi sema kinachotukera ni tabia ya kutusemea mbovu kwa bosi na akija ofisini kwetu anatusifia wakati taarifa kutoka kwa bosi ni tofauti. Pia jamaa tulikuw nae ofc moja tunapiga mzigo, sasa iweje kila report na kazi atakayopelekewa anaikashifu na kusema rudia hata mara tano na kama hatuwezi ana watu wake anaowafahamu wngeweza kufnya vizuri zaidi. Kama hiyo haitoshi, hatushirikishi kwenye jambo lolote linlohusu miradi ya dept. yetu, yeye ni kucommand na final say hataki discussion wala maswali. Vikao anaongoza kinguvu nguvu, wkati mwingine ajenda hatuzielewi lakini hatoi ufaanuzi wowote. Tunahisi ana inferiority complex manake katuzidi saana kiumri labda anahofia vijana tutamshinda kimawazo hivyo kupoteza nafasi, yaani hatumuelewi.
AU SIE NDO HATUMUELEWI??
Ingia ofisini kwake, funga mlango kwa funguo, then mchape makofi!