Mnaitwa hukuuu

Mnaitwa hukuuu

mtwa mkulu

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2013
Posts
8,586
Reaction score
11,227
Screenshot_20240309-202025.png
 
Mashujaa ndo timu yenye vibe kwenye social media kuliko timu zote za Tanganyika.

Admin wao wa mitandao ya kijamii ni habari nyingine, ameongeza chachu ya Mashujaa Fc kujizolea wapenzi na mashabiki.

Baada ya Simba na Yanga, timu pendwa inayofuata ni Mashujaa Fc.
 
Back
Top Bottom