Mnajificha katika hoja ya ushoga ehh? jibuni nondo hizo

Magulumali hajafanya lolote la maana kwa uchumi wetu. Kaua viwanda, kaua sekta ya kilimo, kaua demokrasia, kaua elimu kaua kila kitu kikiwemo na chama cha CCM kimeuliwa na Magulumali
Magulumali hakubaliki tena ndani na nje ya chama
Bernard Membe for presidency 2020
 
Hiyo Tr 1,5 unaitaka ya nini sasa kama hata huyui iliko? Maneno ya kulishwa bila kujua undani yatakufanya ushidwe hata kushughulikia mambo ya mkeo.
Akili za watetezi wa serikali ni ndogo sana . Hata wanaotetewa wanawaonea aibu kwa comment kama hii.
 
Wewe ni bogus
 
Mnyakyusa ameingiaje hapo?
 
Nataka wakate kabisa misaada iki huyu boya aone kidume halisi ni nani
 
Tutaendeleaje bila kufuata kanuni Na misingi ya katiba yetu tuanze hapo kwanza?
 
Kunyoosha nchi kwa kuua watu........Ulaaniwe shetani wewe
 
Kamanda tuambie...Lisu Mlimpiga risasi ngapi...
Wawaviumbe wanaopotea mnawahifadhi wapi....

Bei ya sukari itashuka lini?

Nini hatima ya Sh. yetu katika dola...

Noah tunakabidhiana lini...

Viwounder vinajengwa nchi gani...

Akwilina aliwa wakosea nini....
 
Achana na Sukali.. Kunywa Maji yanatosha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…