Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Morng
Ase naota nipo karobu sana na rais si mara ya kwaza kabisa inakuja na kuondoka sasa sijajua ina maana gani mda mwingine asipo kuwa rais bas ni viongozi wakubwa wakubwa mfano kabudi embu nisaidie
Au kuna siku na mimi nitakula keki ya taifa 😂😂😂 nipo serious
Ase naota nipo karobu sana na rais si mara ya kwaza kabisa inakuja na kuondoka sasa sijajua ina maana gani mda mwingine asipo kuwa rais bas ni viongozi wakubwa wakubwa mfano kabudi embu nisaidie
Au kuna siku na mimi nitakula keki ya taifa 😂😂😂 nipo serious