Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
Mkuu ipo siku utatekwa then utapelekwa kwa rais ukapigwe shaba kama Ben sa8 rais atetemeke hadi sirah indondoke chini ila hutakufa

Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.

Jf kuna people aseMkuu ipo siku utatekwa then utapelekwa kwa rais ukapigwe shaba kama Ben sa8 rais atetemeke hadi sirah indondoke chini ila hutakufa![]()
Inaweza kuwa huwa unapenda viti vya mbele (kuwa karibu na wakubwa, unapenda ukubwa na unapenda kusifiwa) au ni mpiga debe wao (unawaongelea vizuri).Morng
Ase naota nipo karobu sana na rais si mara ya kwaza kabisa inakuja na kuondoka sasa sijajua ina maana gani mda mwingine asipo kuwa rais bas ni viongozi wakubwa wakubwa mfano kabudi embu nisaidie
Au kuna siku na mimi nitakula keki ya taifa 😂😂😂 nipo serious
Haya bhnaInaweza kuwa huwa unapenda viti vya mbele (kuwa karibu na wakubwa, unapenda ukubwa na unapenda kusifiwa) au ni mpiga debe wao (unawaongelea vizuri).
Mbona kuna wakati unamuota mtu ambaye hujamuona kwa miaka na hukuwa na ukaribu nae, je hii inaelezeka vp na maelezo uliyoeleza hapo?Unawawaza sana ndio maana ikifika usiku unawaota, coz ndoto ni matokeo ya reality unayoishi, ndio maana huwezi kuota usichokijua.
View attachment 3213402
Jaribu kuangalia hizo ndoto umeanza kuota kipindi gani mpaka sasa na kitu gani kimetokea au unakifanya katika maisha yako katika kipindi hiki ambacho umekuwa ukiota hizo ndoto? Au chunguza nini ukifanya au kukutokea basi ndio hutokea kuota hizo ndoto?Morng
Ase naota nipo karobu sana na rais si mara ya kwaza kabisa inakuja na kuondoka sasa sijajua ina maana gani mda mwingine asipo kuwa rais bas ni viongozi wakubwa wakubwa mfano kabudi embu nisaidie
Au kuna siku na mimi nitakula keki ya taifa 😂😂😂 nipo serious