jockey emmanuel
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 330
- 50
"Mtoto idi kazua balaa
mtoto idi kazua mikosi
kisa pamba kapandwa na kichaa
anahitaji kurekebishwa"
mb dog akikwambia latifa,"penzi la dhati lati mi ntaona aaaa
penzi la uzushi lati mi ntajua aaaaa
kumbuka dog man dog nakupenda
ukiniacha dog man nitakonda..."
ferooz akisema starehe,"hapa nilipo mimi nipo kitandani
starehe zimeniweka matatani
kupona tena mimi haiwezekani..."
prof.j akisema nikusaidieje"nikimpa keki hataki anataka boga
nikimpa soda hataki anataka togwa..."
kuna ule wa tshet na jinz,"kila mmoja anapendeza
tshet na jinz
hakuna anayechukiza
tshet na jiz..."
z-anto akisema mpnz jini,"jini jini ananipenda sana mimi
anasema ananipenda
anasema hatonitenda..."
mr.nyc akisema fagilia,"wawaaaaaa...mr.nyc
fagilia fagilia bongo
kuku kapanda baiaskeli
bata kavaa raizoni..."
dudubaya akisema nakupenda,"nakupenda mpnz usiyependa doo
tikisa shori wa kweli.."
kuna ule ulivuma sana unasema hivi,"nipe 5 nani nikurushe mpaka kucheeee eeeh..."
bila kusahau uliowahi kufungiwa,"mitungiii....xxx"
zaidi kuna mama roda,"mama rodaaa umeniachaaaa
mama rodaaa utanikumbuka aaa..."
mnaukumbuka ule wa regina?upo hivi,"nakupenda reginaaaaa nakupenda regina..."
ule wa cinderela nao,"ulinitesa sana
sababu nilikupenda wajua
kijijini kwa bibi kigoma
iliniuma sana..."
mac muga nao,"kumbuka athumani alipofika south afrika
alikuwa na maisha bomba..."
matonya alitoka hivi,"wa2 walishachonga sana
et valet simpat tenaaa
na kuongea uzushi bwana
kwa kuona mambo yetu yananyookaaaa
hata kic na hug sipati
oo mama beibeeee"
suma lee alianza hivi,"chungwa kalimenya utazania chenzaaa
na lishamegwa nawe umewezaaaa"
ONGEZENI NYINGINE JAMANI TUKUMBUSHANE TULIKOTOKA!
mtoto idi kazua mikosi
kisa pamba kapandwa na kichaa
anahitaji kurekebishwa"
mb dog akikwambia latifa,"penzi la dhati lati mi ntaona aaaa
penzi la uzushi lati mi ntajua aaaaa
kumbuka dog man dog nakupenda
ukiniacha dog man nitakonda..."
ferooz akisema starehe,"hapa nilipo mimi nipo kitandani
starehe zimeniweka matatani
kupona tena mimi haiwezekani..."
prof.j akisema nikusaidieje"nikimpa keki hataki anataka boga
nikimpa soda hataki anataka togwa..."
kuna ule wa tshet na jinz,"kila mmoja anapendeza
tshet na jinz
hakuna anayechukiza
tshet na jiz..."
z-anto akisema mpnz jini,"jini jini ananipenda sana mimi
anasema ananipenda
anasema hatonitenda..."
mr.nyc akisema fagilia,"wawaaaaaa...mr.nyc
fagilia fagilia bongo
kuku kapanda baiaskeli
bata kavaa raizoni..."
dudubaya akisema nakupenda,"nakupenda mpnz usiyependa doo
tikisa shori wa kweli.."
kuna ule ulivuma sana unasema hivi,"nipe 5 nani nikurushe mpaka kucheeee eeeh..."
bila kusahau uliowahi kufungiwa,"mitungiii....xxx"
zaidi kuna mama roda,"mama rodaaa umeniachaaaa
mama rodaaa utanikumbuka aaa..."
mnaukumbuka ule wa regina?upo hivi,"nakupenda reginaaaaa nakupenda regina..."
ule wa cinderela nao,"ulinitesa sana
sababu nilikupenda wajua
kijijini kwa bibi kigoma
iliniuma sana..."
mac muga nao,"kumbuka athumani alipofika south afrika
alikuwa na maisha bomba..."
matonya alitoka hivi,"wa2 walishachonga sana
et valet simpat tenaaa
na kuongea uzushi bwana
kwa kuona mambo yetu yananyookaaaa
hata kic na hug sipati
oo mama beibeeee"
suma lee alianza hivi,"chungwa kalimenya utazania chenzaaa
na lishamegwa nawe umewezaaaa"
ONGEZENI NYINGINE JAMANI TUKUMBUSHANE TULIKOTOKA!