Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilikuwa ukilimiliki mademu wasomi hadi utawakataa. Alikuwa nalo mjomba na alionekana mtu wa mamtoni. Siku moja jamaa yangu akaniambia tuliibe kwani liko full dhahabu!!!! Utoto+ushamba nuksi tupu.
Niinjikie kachai katam wife nikumbuke mbali
Hivi nakumbuka halina tofauti na taa ya karabai yoote una pump kwanza enh??
Matoleo yote hayo yalikuwepo. Stove ya kupampu na hilo la tambi likiitwa la mchina.Nililiona tu ila kutumia hapana si ilikuwa kuni na mkaa baadae sana ndio jiko la mchina kwa chai
La tambi hadi leo lipo linasaidia sana chai ya asubuhi kabla ya kwenda kazini na watoto shuleMatoleo yote hayo yalikuwepo. Stove ya kupampu na hilo la tambi likiitwa la mchina.
So ilikuwa chaguo lako unataka kutumia lipi.
Hili la tambi nadhani hadi leo bado yapo madukani.