Mnamkubali huyu muigizaji wa Bongo movie Riyama Ally

Donatila

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
7,772
Reaction score
22,598
Binafsi nampenda kweli kulingana na kazi yake anaweza sana kuigiza, pia hana tabia za ajabu.,wakuu nyinyi mnamuuonaje huyu muigizaji wa kike anayejiheshimu.Fungukeni hapa




 
hivi huyu girl kawezaje kujicontrol na skendo,maana wenzake wote wamekaa kiudenda
 
hivi huyu girl kawezaje kujicontrol na skendo,maana wenzake wote wamekaa kiudenda
Dah!! mi mwenyewe nashangaa yani hana maskendo yoyote
 
one of my best actress!
Hakuna mwigizaji wa kike anayemfikia kwa kujua kuzitendea haki scene ukimtoa Monalisa!
 
Apunguze unene,akiwa model atapendeza sana,minyama mingi haimpendezi.

Huyu Dada alikuwa si mnene hivi sema wanaendekeza kula kuliko pitiliza! kuna baadhi ya scene hawezi kucheza maana anaoneka ana umri mkubwa kutokana na mwili uliopitiliza
 
Anakeep her profile loW!ana katoto kazuuuri,anajielewa na ni my best actress!Namzimia!
 
kuna moja alikuwa mke wa king majuto duh iliniacha hoi kibongobongo anaweza.
 
na akiigiza km shangingi fulani hv ananiachaga hoii, ana maneno huyu dada jamani
 
na akiigiza km shangingi fulani hv ananiachaga hoii, ana maneno huyu dada jamani
umeona eee huyu dada anaongea kama kamezaa redio, lakini hakuna wa kumfikia huyu kwa kuvaa vizuri na kujiheshimu,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…