Apunguze unene,akiwa model atapendeza sana,minyama mingi haimpendezi.
one of my best actress!
Hakuna mwigizaji wa kike anayemfikia kwa kujua kuzitendea haki scene ukimtoa Monalisa!
umeona eee huyu dada anaongea kama kamezaa redio, lakini hakuna wa kumfikia huyu kwa kuvaa vizuri na kujiheshimu,na akiigiza km shangingi fulani hv ananiachaga hoii, ana maneno huyu dada jamani
Irene Paul ndo kiboko yao Bongo Movie nzima.... hutaki unaacha.