kende
JF-Expert Member
- Dec 2, 2013
- 3,527
- 1,668
Riyama mkali but naona kama kabase sana kwenye scene za aina moja, kulialia tu. Sijui kama muvi zake zote ndo za hivo, au nilizoziona mimi ndo ziko hvo. Namfananisha na yule msanii wa Kenya anaitwa Jaguar, yaani ukiweka playlist ya nyimbo zake utacheka, nyimbo zinafanana kama mapacha