Mnamkumbuka Ayatollah Khomeini, kiboko ya Shah wa Iran?

Mnamkumbuka Ayatollah Khomeini, kiboko ya Shah wa Iran?

Kwa msaada wa mi 6 ya uingereza na taasisi ya ujasusi ufaransa,baada ya shah kuwataka bp na kampuni la mafuta ufaransa kulipa mirabaha stahiki ya uchimbaji mafuta,wakakubaliana nae mikataba ya ulaghai,wakamuweka madarakani,ulamaa akatumia taqiya,wakachoka hoi,Iran ikapigwa vikwazo tangu hapo hadi leo
 
Kwa msaada wa mi 6 ya uingereza na taasisi ya ujasusi ufaransa,baada ya shah kuwataka bp na kampuni la mafuta ufaransa kulipa mirabaha stahiki ya uchimbaji mafuta,wakakubaliana nae mikataba ya ulaghai,wakamuweka madarakani,ulamaa akatumia taqiya,wakachoka hoi,Iran ikapigwa vikwazo tangu hapo hadi leo

Hii ni kitu kipya kwangu, ingawa najua Total ya Ufaransa imekaa vizuri sana Iran. Kitu kingine cha kujifunza, hawa wenzetu wako kimaslahi. Wnaweza kufanya lolote kulinda maslahi yao.
Kama walimtumia huyu, pole zake. Maana tuendako kama tuko corrupt, we will be punished
 
Hii ni kitu kipya kwangu, ingawa najua Total ya Ufaransa imekaa vizuri sana Iran. Kitu kingine cha kujifunza, hawa wenzetu wako kimaslahi. Wnaweza kufanya lolote kulinda maslahi yao.
Kama walimtumia huyu, pole zake. Maana tuendako kama tuko corrupt, we will be punished
Ulamaa ali-apply taqiya
 
Back
Top Bottom