Mmesikiliza vizuri hiyo video? Mzee Ayatollah Khomeini alikuwa akikala uroda katoto ka miaka 4; like their prophet like his followers and their prominent leaders. Halafu anayefichua siri ni msunniHiyo hapo video yake mwamba huyo mwana mapinduzi na mwanzilishi wa Iran Theocratic Regime
View: https://youtu.be/60MC3bVFG6s?si=TZSCPGdLL__fbT5t
Cc Naby KeitaHiyo hapo video yake mwamba huyo mwana mapinduzi na mwanzilishi wa Iran Theocratic Regime
View: https://youtu.be/60MC3bVFG6s?si=TZSCPGdLL__fbT5t
Kwa msaada wa mi 6 ya uingereza na taasisi ya ujasusi ufaransa,baada ya shah kuwataka bp na kampuni la mafuta ufaransa kulipa mirabaha stahiki ya uchimbaji mafuta,wakakubaliana nae mikataba ya ulaghai,wakamuweka madarakani,ulamaa akatumia taqiya,wakachoka hoi,Iran ikapigwa vikwazo tangu hapo hadi leo
Ulamaa ali-apply taqiyaHii ni kitu kipya kwangu, ingawa najua Total ya Ufaransa imekaa vizuri sana Iran. Kitu kingine cha kujifunza, hawa wenzetu wako kimaslahi. Wnaweza kufanya lolote kulinda maslahi yao.
Kama walimtumia huyu, pole zake. Maana tuendako kama tuko corrupt, we will be punished
Shia BOMAYEEE