yule jamaa alikuwa anamiliki hiace kibao mjini dsm zilizokuwa zinaitwa madinda trans yule aliyekuwa anaongozwa kupewa big up na bendi za kibongo enzi hizo. Yule aliyekuwa mme wa mcheza show maarufu wa twanga pepeta asha madinda? Jamb amefulia mbaya huwezi amini yupo dodoma now anaishi sehemu 1 inaitwa mnadani now ni dereva wa tamisemi
Wewe utavalishwa kangs mjini wewe umeadithiwa wala humjui vizuri!acha kuwa mnafiki kwamaneno yakimbea unaleta humu ungeuliza basikama ulihitajikujua wajii wake siyo kukurupuka na risled lakichonganishi!Nakujulisha kama ulikuwa humjui"Fikiri Madinda kabila ni Mgogo wa Dodoma,
Fikiri Madinda nimtumishi wa serikali tangu 1992,
Fikiri Madinda ni Driver wizara ya kilimo,
Fikiri Madinda anakakayake pale wizarani ni driver pia,
Fikiri Madinda nirafiki yake Ali choki na walianzisha bend pamoja ya extra music,
Fikiri Madinda alikuwa anaishi na Aisha Madinda mnenguaji wa twanga pale Sinza madukani,
Fikiri Madinda kwa sasa anafanya kazi wizara ya ushirika pale Waterfront house!Sasa wewe unasema Tamisemi dodoma waoinawapi??
Fikiri Madinda ajafulia kilichofanyika waligawana share nakila mmoja akawa mipango yake kimaisha yote niliyokwambia ndo yalivyo!!
Fikiri Madinda hakuwai kuishi Dodoma kama unavyosema anakaa mnadani ni uongo.