Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnajitekenya Tu huku,mleta uzi hayupo huku long time, nyie wanaume WA Dar mnajidai mna mdomo mrefu Sana wakat muhusika kapiga kimya, wanaume WA Dar fanyeni kazi
sio swala la kufurahia bali kujifunza kupitia makosa yake.
Acha ushamba,alafu usiwe unaropoka vitu usivyo vijua... Ni deteva tangu miaka ya nyuma kabla hata hajaanza kumiliki band na mpaka anamiliki band alikua bado dereva. Na sio kwamba amefulia,na wala haishi mnadani. Yeye ni mtu wa dodoma na kwao ni dodoma so ukimuona maeneo yupo kwao. Wewe toka umfahamu Fikiri,je umefikia alipo saiv ambapo unasema kafuria??? Kazana kupambana kijana... Maisha kutafuta sio kutafutana.
yule jamaa alikuwa anamiliki hiace kibao mjini dsm zilizokuwa zinaitwa madinda trans yule aliyekuwa anaongozwa kupewa big up na bendi za kibongo enzi hizo. Yule aliyekuwa mme wa mcheza show maarufu wa twanga pepeta asha madinda? Jamb amefulia mbaya huwezi amini yupo dodoma now anaishi sehemu 1 inaitwa mnadani now ni dereva wa tamisemi
Bob edgar alinaniihiwa baada ya kula mke wa mtu akahama mjiniAkuna Majini wala Tunguli awa huwa wanaingia Mjini kwa pupa alafu wanjifanya Born Town wapo wengi tu.Kuna Bob Edga alikimbia Dar,wapi Jacky Pemba?Ndama ndio hivyo tena ana kesi,Muzamil Katunzi ..yaani hawa wote ni malimbukeni tu,na ushamba ndo unawalostisha
Thread ya mwaka 2011 na ililetwa n mgogoBila Shaka mleta thread ni Mwanaume wa Dar...
Yupo ni dereva serikalini,nimemwona mwezi uliopita na jezi ya Manchester United mgongoni imeandikwa jina lakeHaha
Yupo huyu jamaa?
Sahihi kabisa alikuwa mifugo na amemwendesha sana wazir wa mifugo wakati huo Dr Titus kamani pale maeneo ya vetenariAlikuwa dereva wizara ya mifugo kipindi fulani
Nilikuwa namkubali tu kwa kujua kuongeza sifuri
Ndomana alikuwa anaonekana pedeshee fulani
Ova
Kwa hiyo akishafulia wewe unapata faida gani?yule jamaa alikuwa anamiliki hiace kibao mjini dsm zilizokuwa zinaitwa madinda trans yule aliyekuwa anaongozwa kupewa big up na bendi za kibongo enzi hizo. Yule aliyekuwa mme wa mcheza show maarufu wa twanga pepeta asha madinda? Jamb amefulia mbaya huwezi amini yupo dodoma now anaishi sehemu 1 inaitwa mnadani now ni dereva wa tamisemi
Wanaume wa dar bhana kufatilia tu ya wanaume wengine
acha ushowadina ww...Wanaume wa dar bhana kufatilia tu ya wanaume wengine
Sana mtu mmja shap sanaSahihi kabisa alikuwa mifugo na amemwendesha sana wazir wa mifugo wakati huo Dr Titus kamani pale maeneo ya vetenari
Jamaa n mjanja mjanja pia MTU wa watu sana hana makuu
Sijui kwa sasa yu wapi huyu mwamba
Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
Sio wakaushe, hiyo ndiyo gharama ya umaarufu. Ya ukweli na ya uongo yote yataongewa juu yako. So, wewe uki_panick wala watu hawajali. Hata hivyo sio siri umaarufu wake umekufa kama bendi za dansi bongo.Npo humu kitambo,hii ni accnt nyingne. Na sijaja kujitetea wala kumtetea,nawachana tu... Maisha kutafuta sio kutafutana,komaa utoboe
Ndio,wakaushe kuongelea maisha ya watu....
Mwanae amekua sana siku hizi....hivi anajisikiaje anaposikia story za wazazi wake...dah....kinondoni ni nomaSana mtu mmja shap sana
Ali achana na aisha, aisha akaangukia kwenye mahusiano na muuza - - mmja anaitwa ibra hyo ndy alimfundisha aisha kvuta na kumuaribu
"unajua watu wengi walingia kwenye matumizi ya unga wengine Wanakwambia ukivuta kdg unachelewa kkujoaa wkt wa tendo la ndoa basi mamb vagarant"
Ila Enzi za aisha ilikuwa balaaa na shepu lke
Twanga
Ova
:A S 13::A S 13::A S 13: hufahamu kwamba maisha ni kupanda na kushuka?.....Au kushuka na kupanda...?
HOJA YA 2011 inakuja kujibiwa 2016
MIAKA 5
Derava serikalini anakuwaje PDG(Pedejheee)?Sahihi kabisa alikuwa mifugo na amemwendesha sana wazir wa mifugo wakati huo Dr Titus kamani pale maeneo ya vetenari
Jamaa n mjanja mjanja pia MTU wa watu sana hana makuu
Sijui kwa sasa yu wapi huyu mwamba
Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app