Mnamkumbuka Fikiri Madinda?

umeamua kujisajiri fasta ili ujitetee karibu jf mkuu
 
Kufulia ni moja ya mitihani au sehemu ya maisha, sidhani ni jambo la kushangiilia haya ni maisha tu, hata wewe siku moja unaweza kosa hata hako ka smartphone kanachokufanya uingilie JF, tuheshimu maisha ya wengine, afadhali yeye alijaribu japo kutoa ajira kwa madereva 10 na konda 10, wakasomesha na kulisha familia zao, vipi wewe ushajaribu hata hilo??? kati ya hao staff wake wako walojenga kupitia yeye na sasa wanaishi kwa Amani, angalia yeye ana watu hawatamsahau kwa njia moja au nyengine katika kuwakomboa, KAMA ANGEKUWA YUKO DODOMA NI JAMBAZA HAPO TUNGEWEZA KUPONDA, Lakin anafanya kazi apate kipato cha halali tatizo liko wapi??
 
.........kuongezea tu huyo kaka yake anaitwa Tumaini. Baba yao pia mzee Madinda alikuwa dereva kilimo

Mleta uzi anaonekana ana chuki binafsi
 
Mwanamme ukiwa mnafiki na tabia za kike ni tatizo kubwa fahamu kupanda kimaisha na kushuka ni makadirio ya Mwenyezimungu hakuna ajue siku ya kufanikiwa na siku ya kuishiwa.tembea ujifunze
 
Kwa kiwa ni mwana gamilia ndio umeweza kutolea maelezo ishu ya nduguyo tunashukuru sana maana hapa kila.mtu angelibeba hili suala na kwenda kulizungumzia kama vile anamjua muhusika kuliko snavyojijua jamani tusipende kufuatilia mambo ya watu tuwaonao tu kws luninga na tuwasikiao maredioni
 
.........kuongezea tu huyo kaka yake anaitwa Tumaini. Baba yao pia mzee Madinda alikuwa dereva kilimo

Mleta uzi anaonekana ana chuki binafsi
Mtu baki humuji vizuri unajifanya unamjua,,,usimfaham mtu kwa stori su kwa kumuona nje kwa macho... Yupo kilimo miaka kibao na ndo kazi yake udereva. Biashara zingine ni za nje tofauti na hyo kaxi. Alaf wewe unae sema kafulia em angalia ulipo ww na kama kweli unamfaham vizuri angalia slipo yeye,je umesha pafimia??? Komaa na maisha acha kufatilia maisha ya watu.
 
umeamua kujisajiri fasta ili ujitetee karibu jf mkuu
umeamua kujisajiri fasta ili ujitetee karibu jf mkuu
Npo humu kitambo,hii ni accnt nyingne. Na sijaja kujitetea wala kumtetea,nawachana tu... Maisha kutafuta sio kutafutana,komaa utoboe
Mwanamme ukiwa mnafiki na tabia za kike ni tatizo kubwa fahamu kupanda kimaisha na kushuka ni makadirio ya Mwenyezimungu hakuna ajue siku ya kufanikiwa na siku ya kuishiwa.tembea ujifunze
Ndio,wakaushe kuongelea maisha ya watu....
 
Npo humu kitambo,hii ni accnt nyingne. Na sijaja kujitetea wala kumtetea,nawachana tu... Maisha kutafuta sio kutafutana,komaa utoboe
Ndio,wakaushe kuongelea maisha ya watu....
Nadhani tunakosea tunapoangali jambo kwa mtizamo hasi. Maisha ni kupanda na kushuka na wanasema barabara mrefu haikosi kona. Ndugu yangu sijaona kosa la mleta uzi. Ingawa ni wa mwaka mitano iliyopita. Kila jambo linatendeka ili liwe funzo kwa wengine. Huu uzi unatufundisha kuwa waangalifu katika maisha yaani KUWEKEZA. Ni vyema zikikutembelea ujue kuna siku zitakuchoka na kumtembelea mwingine. Tujaribu kila wakati kujifunza baadala ya kuhamaki.
 
Halafu msije kusingizia ni wanaume wa Dar, huyu jamaa mleta uzi ni wa Dodoma watu wote mmeshuhudia hapa
 

Aaaah braza umekasirika kinoma, yaan vijana wawe na respect wanapotaja jina lako japo ni kweli umefulia
 
Anajidanganya huyo hamjui huyo jamaa vizuri mara ya mwisho nimekutata na nae alikuwa anamwendesha waziri wa kilimo mwaka jana nikakuta nanae tena kwenye ndege tunaelekea china yeye alikuwa anaenda dubai
Jamaa hana shida na mtu na hana njaaa na kamwe awezi kufa njaa au kufulia coz ana watu alafu yuko kwenye system kitambo huyo jamaa hamjui
Maku huyo.
 
Halafu msije kusingizia ni wanaume wa Dar, huyu jamaa mleta uzi ni wa Dodoma watu wote mmeshuhudia hapa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji36][emoji36]
 
sasa kafulia wakati ana kazi una maana gani tamisemi
 
ulieleta hii topic umeshaambiwa jamaa yuko ,KWENYE SYSTEM-inabidi uelewe
 

well said
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…