Kwa hiyo kwa kumuona igunga ndo munahukumu kuwa si mlokole?, kipimo chenu cha ulokole/si ulokole ni kipi?, igunga hakuna walokole?, CCM hakuna walokole?!, kwenye jukwaa la siasa hakuna waliookoka?, nielewesheni ama sivyo kaeni kimya kwani nyie hamuna mizani ya imani.
Mnamkumbuka huyu dada!!
c alidai kaokoka vp mbona karudi kivingine?
au muda wa ulokole umeisha?
View attachment 37609