Son of Gamba
JF-Expert Member
- Oct 26, 2012
- 4,720
- 6,957
Kama sikosei huyu jamaa alikuwa anaitwa Richard na alishiriki kwenye Big Brother Africa. Sijui alipoteleaga wapi. Naona amepiga "ugimbi", sasa anakata mauno kama hana akili nzuri vile. Ha ha ha pombe siyo chai.