Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
sisi yanga jamaa katusaidia sana nashangaa sasa watu wanaanza mdharauMsaliti Huwa Hana thamani
Mwamba hataki masihara kwenye kubunya.
Ni mlaji mzuri sana wa kitimoto katika nchi hiiMwamba hataki masihara kwenye kubunya.
Manara hapigi mduduNi mlaji mzuri sana wa kitimoto katika nchi hii
Yeah, nyama ya mbuzi katoliki na manara ni kama secretarybird na JamiiForums.Ni mlaji mzuri sana wa kitimoto katika nchi hii
Anapiga mzee,kuna kipind hadi mitungi alikuwa anapigaManara hapigi mdudu
πππbado hajasema ππManara ametusaidia toka akiwa bado Simba na baadaye walipomfukuza aliendelea kutusaidia. lakini naona kwa sasa mnamwona kama hana mchango kwa Yanga hapa ilipo. Nimeona hata kwenye harusi haji mmweka mbali na hamumpi ushirikiano mkubwa na heshima yake. tukumbuke ametutoa mbali sana.
Hatari sana, sasa watakuwa wanajuta kimya kimya.Jamani nilitaka nianzishe uzi kwa ajili ya hili la Manara...
Yani Yanga walijitenga kabisa nae..
Hata kumpa recognition tu hakuna yanii..
Kama nakumbuka manara ndo alimwita Hamisa siku ya utopolo pale stejini
Ila niliona wanasalimiana na AziZ vzr pale mbele...
Kingine kuna muda walikuwa wanacheza miziki pale Marioo alikua anaimba baadae Gara b akamwambia Marioo awaimbie wananchi beat ilipoanza ya wimbo wa yanga Manara na mkewe wakaondoka kwenda kukaaa..
Yani huyo Manara ni kama Chama tuu walinyea Kambi...kambi zimeshasafishwa watu wameingia..hawana nafasi tena hawana rahaaa...hahaha
Kwan timu haishindiManara ametusaidia toka akiwa bado Simba na baadaye walipomfukuza aliendelea kutusaidia. lakini naona kwa sasa mnamwona kama hana mchango kwa Yanga hapa ilipo. Nimeona hata kwenye harusi haji mmweka mbali na hamumpi ushirikiano mkubwa na heshima yake. tukumbuke ametutoa mbali sana.
Hao wenzako Wana ajira,wewe mwaka wa 6 upo joblessUsaliti ni kitu kibaya sana.
Vijana wa Leo ogopeni usaliti.
Manara.
Chama.
Mkude
Baleke.
Hawa ni mfano wa vijana wasaliti wanalipwa kutokana na Tabia zao.
Tena akishakunywa anajibidua kwa mujibu wa mzee MagomaAnapiga mzee,kuna kipind hadi mitungi alikuwa anapiga