Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
- Thread starter
- #41
Safi sana hapa naona mlikuwa mnaoga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi sana hapa naona mlikuwa mnaoga?
Mimi mpiga picha ni wewe unaoga na mumeo zunguSafi sana hapa naona mlikuwa mnaoga?
naona mmejipost................Mimi mpiga picha ni wewe unaoga na mumeo zungu
huyo atakuwa ndo demu wa manara anaonekana anajua mambo mengi sanaKahiyo hapo ndio anapiga mdudu sio?
Aulizwe ila kawaida ya manara huwa hana aibu!Duh sasa jikoni kafata nini tena?
wacha ujinga wewe Manara,unaisadia nini Yanga? Wewe si mchezaji na wala hujuwi lolote kwenye mpira zaidi ya kubwabwaja tu na umbea. Ebu tuambie unaisaidiaje Yanga kufanya vizuri uwanjani?Manara ametusaidia toka akiwa bado Simba na baadaye walipomfukuza aliendelea kutusaidia. lakini naona kwa sasa mnamwona kama hana mchango kwa Yanga hapa ilipo. Nimeona hata kwenye harusi haji mmweka mbali na hamumpi ushirikiano mkubwa na heshima yake. tukumbuke ametutoa mbali sana.
Umeshajiuliza huyo Manara anasaidia nini soka la Tanzania zaidi ya umbea na kubwabwaja tu, unafikiri kwanini Simba walimtema? Kubwabwaja hakuifanyi timu ifanye vizuri uwanjani.Manara ametusaidia toka akiwa bado Simba na baadaye walipomfukuza aliendelea kutusaidia. lakini naona kwa sasa mnamwona kama hana mchango kwa Yanga hapa ilipo. Nimeona hata kwenye harusi haji mmweka mbali na hamumpi ushirikiano mkubwa na heshima yake. tukumbuke ametutoa mbali sana.
Dogo hujui ndo maana umepaniki bure tu. Sisi watu wazima ndo tunajua.wacha ujinga wewe Manara,unaisadia nini Yanga? Wewe si mchezaji na wala hujuwi lolote kwenye mpira zaidi ya kubwabwaja tu na umbea. Ebu tuambie unaisaidiaje Yanga kufanya vizuri uwanjani?
Eeenh niko na shosti yako haponaona mmejipost................
Upo na jamaa yako. Hapo mlikuwa wapi?Eeenh niko na shosti yako hapo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jamani nilitaka nianzishe uzi kwa ajili ya hili la Manara...
Yani Yanga walijitenga kabisa nae..
Hata kumpa recognition tu hakuna yanii..
Kama nakumbuka manara ndo alimwita Hamisa siku ya utopolo pale stejini
Ila niliona wanasalimiana na AziZ vzr pale mbele...
Kingine kuna muda walikuwa wanacheza miziki pale Marioo alikua anaimba baadae Gara b akamwambia Marioo awaimbie wananchi beat ilipoanza ya wimbo wa yanga Manara na mkewe wakaondoka kwenda kukaaa..
Yani huyo Manara ni kama Chama tuu walinyea Kambi...kambi zimeshasafishwa watu wameingia..hawana nafasi tena hawana rahaaa...hahaha
Tukulize ww unaeumia mumeo kuanikwaUpo na jamaa yako. Hapo mlikuwa wapi?
Tukuulize wewe unapiga picha na mumeo ukazirusha humuTukulize ww unaeumia mumeo kuanikwa
Mulize mumeo zungu kwanini unaumia picha zake zikiwekwa jf wakati yeye aliziposti mwenyewe instagramTukuulize wewe unapiga picha na mumeo ukazirusha humu
Naona umetuma picha ukiwa na bwana ako. Hapo mlikuwa wapi?Mulize mumeo zungu kwanini unaumia picha zake zikiwekwa jf wakati yeye aliziposti mwenyewe instagram
Kule anakokukazagaNaona umetuma picha ukiwa na bwana ako. Hapo mlikuwa wapi?
Naona unerusha picha mkiwa pamoja.safi sana.Kule anakokukazaga
SAwa dada angu uwe na usiku mwema kwenye lindo la ndoa yakoNaona unerusha picha mkiwa pamoja.safi sana.
Naona umerusha picha mkiwa pamoja na bwana ako. Mna enjoy.safi sana.SAwa dada angu uwe na usiku mwema kwenye lindo la ndoa yako
Anakusaidia nini Manara maishani mwako ama anaisaidia nini Yanga kutofanya ama kufanya vizuri....jibu hoja.Dogo hujui ndo maana umepaniki bure tu. Sisi watu wazima ndo tunajua.