Mnamtenga sana Manara, kumbukeni mara nyingi alivyotusaidia kushinda

Mnamtenga sana Manara, kumbukeni mara nyingi alivyotusaidia kushinda

Manara ametusaidia toka akiwa bado Simba na baadaye walipomfukuza aliendelea kutusaidia. lakini naona kwa sasa mnamwona kama hana mchango kwa Yanga hapa ilipo. Nimeona hata kwenye harusi haji mmweka mbali na hamumpi ushirikiano mkubwa na heshima yake. tukumbuke ametutoa mbali sana.
wacha ujinga wewe Manara,unaisadia nini Yanga? Wewe si mchezaji na wala hujuwi lolote kwenye mpira zaidi ya kubwabwaja tu na umbea. Ebu tuambie unaisaidiaje Yanga kufanya vizuri uwanjani?
 
Manara ametusaidia toka akiwa bado Simba na baadaye walipomfukuza aliendelea kutusaidia. lakini naona kwa sasa mnamwona kama hana mchango kwa Yanga hapa ilipo. Nimeona hata kwenye harusi haji mmweka mbali na hamumpi ushirikiano mkubwa na heshima yake. tukumbuke ametutoa mbali sana.
Umeshajiuliza huyo Manara anasaidia nini soka la Tanzania zaidi ya umbea na kubwabwaja tu, unafikiri kwanini Simba walimtema? Kubwabwaja hakuifanyi timu ifanye vizuri uwanjani.
 
wacha ujinga wewe Manara,unaisadia nini Yanga? Wewe si mchezaji na wala hujuwi lolote kwenye mpira zaidi ya kubwabwaja tu na umbea. Ebu tuambie unaisaidiaje Yanga kufanya vizuri uwanjani?
Dogo hujui ndo maana umepaniki bure tu. Sisi watu wazima ndo tunajua.
 
Jamani nilitaka nianzishe uzi kwa ajili ya hili la Manara...
Yani Yanga walijitenga kabisa nae..

Hata kumpa recognition tu hakuna yanii..
Kama nakumbuka manara ndo alimwita Hamisa siku ya utopolo pale stejini
Ila niliona wanasalimiana na AziZ vzr pale mbele...
Kingine kuna muda walikuwa wanacheza miziki pale Marioo alikua anaimba baadae Gara b akamwambia Marioo awaimbie wananchi beat ilipoanza ya wimbo wa yanga Manara na mkewe wakaondoka kwenda kukaaa..
Yani huyo Manara ni kama Chama tuu walinyea Kambi...kambi zimeshasafishwa watu wameingia..hawana nafasi tena hawana rahaaa...hahaha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom