Mnamtenga sana Manara, kumbukeni mara nyingi alivyotusaidia kushinda

wacha ujinga wewe Manara,unaisadia nini Yanga? Wewe si mchezaji na wala hujuwi lolote kwenye mpira zaidi ya kubwabwaja tu na umbea. Ebu tuambie unaisaidiaje Yanga kufanya vizuri uwanjani?
 
Umeshajiuliza huyo Manara anasaidia nini soka la Tanzania zaidi ya umbea na kubwabwaja tu, unafikiri kwanini Simba walimtema? Kubwabwaja hakuifanyi timu ifanye vizuri uwanjani.
 
wacha ujinga wewe Manara,unaisadia nini Yanga? Wewe si mchezaji na wala hujuwi lolote kwenye mpira zaidi ya kubwabwaja tu na umbea. Ebu tuambie unaisaidiaje Yanga kufanya vizuri uwanjani?
Dogo hujui ndo maana umepaniki bure tu. Sisi watu wazima ndo tunajua.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…