Kuhusu mziki hawezi kurudi kuwa kwenye peak aliyokuwepo kipindi kile. Kila kitu na muda wake na muda wake ushapita. Ila nafurahi sana napomuona yuko fit akiwa na rafiki yake TID.Habari za wakat huu leo nilitaka tutoe mawazo yetu kutokana na hali ya kimziki ya cheed benz haswa baada ya kutoka katika uraibu wa madawa ya kulevya
Je ameanza kurudi kweny form au bado kuna jitihada zifanyike kumrudisha kwenye mstari
Nawasilisha wakuu
View attachment 2058996
ila nilichojifunza katika usanii usitegemee pesa yake kwa 100% maana kuna rise and fallKuhusu mziki hawezi kurudi kuwa kwenye peak aliyokuwepo kipindi kile. Kila kitu na muda wake na muda wake ushapita. Ila nafurahi sana napomuona yuko fit akiwa na rafiki yake TID.
Napenda anavyomzungua TID
"Dar es salaam bila Chuma ts not.....Dar es salaam bila King Kong w'back mikono juu.... "Habari za wakat huu leo nilitaka tutoe mawazo yetu kutokana na hali ya kimziki ya cheed benz haswa baada ya kutoka katika uraibu wa madawa ya kulevya
Je ameanza kurudi kweny form au bado kuna jitihada zifanyike kumrudisha kwenye mstari
Nawasilisha wakuu
View attachment 2058996
kwani hiv madawa yanatengenezwa hpahpa nchn au yanatoka nje maana hayaish na yanaendelea kuharib vjana kila leoHuyo madawa hajaacha,, hima kapumzika for so long au kapunguza dozi, au anagonga mzigo ila anazingatia misosi kwa kuwa siku hizi riziki kidogo anapata,, ni mara ngapi katangaza kuacha madawa,, madawa hayaachiki kirahisi hasa kwa mtu aliyeyabwia zaidi ya nyundo kumi,, na hilo yeye mwenyewe kashawahi kusema
Hayawezi kuisha maana ni biashara yenye pesa nyingi. We fikiria Mexico jeshi la wauza madawa wana zana za kivita kali kali kuliko hata jeshi la serikali. Maafisa polisi wako kwenye payroll ya madrug lordskwani hiv madawa yanatengenezwa hpahpa nchn au yanatoka nje maana hayaish na yanaendelea kuharib vjana kila leo
Sio mziki tu, kwenye kila eneoila nilichojifunza katika usanii usitegemee pesa yake kwa 100% maana kuna rise and fall
Ni biashara inayosemekana kuwa inafanywa na watu wenye nguvu kubwa sana kisiasa na kiuchumi.kwani hiv madawa yanatengenezwa hpahpa nchn au yanatoka nje maana hayaish na yanaendelea kuharib vjana kila leo
Umesikiliza album yake mpya lakini?..Habari za wakat huu leo nilitaka tutoe mawazo yetu kutokana na hali ya kimziki ya cheed benz haswa baada ya kutoka katika uraibu wa madawa ya kulevya
Je ameanza kurudi kweny form au bado kuna jitihada zifanyike kumrudisha kwenye mstari
Nawasilisha wakuu
View attachment 2058996