nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,779
Kuna watu wakiongelea ligi yetu gape la mechi la kulinganisha na ligi ya uingereza unaweza ukadhani karia ni shetani aliyeandikwa kwenye vitabu vya dini..angalia ligi ya misri wana teams kama sisi wanatakiwa kila teams icheze mechi 34 angalia ndo kwanza al ahly ana mechi 19 ,pyramids ana mechi 22 bado kombe lao la FA halijaisha ukimaliza angalia ligi ya algeria wanatakiwa wacheze mechi 38 kila teams ndo kwanza teams nyingi zimecheza mechi 25.
Tusisahau kwenye msiba wa kitaifa wa JPM ligi ilisimama karibu siku 23 na wave ya kwanza ya corona waziri mkuu alisimamisha michezo sijui ilidumu weeks tatu pia?
Tusisahau kwenye msiba wa kitaifa wa JPM ligi ilisimama karibu siku 23 na wave ya kwanza ya corona waziri mkuu alisimamisha michezo sijui ilidumu weeks tatu pia?