Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,237
- 31,811
Sasa utopolo wanamwangushia bomu Karia kwa sababu Karia ndiyo anayewezuia kina Sarpong kufunga magoli.kabisa unaona hata zambia msiba wa kaunda wamekataza starehe ila ligi wameruhusu iendelee kwa sharti kwamba goili likifungwa hamna kushangilia maana siku 21 ni nyingi mno mechi kama 4 zilipotea hapo
Walivyowajinga hata vurugu za juzi watasema Karia ndiyo aliwapiga dole la kati.