nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,779
tatizo nini?angalia ligi ya misri halafu njoo na utetezi wakoTatizo sio kalenda
tatizo nini?angalia ligi ya misri halafu njoo na utetezi wakoTatizo sio kalenda
kwa taarifa yako wanaomsema vibaya karia wanakuambia hakuna ligi ambayo haijaisha duniani ni tanzania tu tena huku wakihusisha viporo vya simba ambyo yeye na yanga wana gape la mechi 3 tena wakiongea unaweza dhani ligi zooote zimekwisha je yangekuwa kama ya misri na algeria ingekuwaje? al ahly bado mechi 15 amalize ligiAchana na masuala ya Algeria lazma wadau tuipambanie ligi yetu iwe bora usijipe moyo kwamba yawezekana bakhresa na wewe mpo sawa ki pesa kisa wote mlipitisha mchana bila kula
Katika kufuatilia kwako kote ligi yetu kweli ilikosa mda wa kumalizika mpk mda huu?tatizo nini?angalia ligi ya misri halafu njoo na utetezi wako
kwa taarifa yako wanaomsema vibaya karia wanakuambia hakuna ligi ambayo haijaisha duniani ni tanzania tu tena huku wakihusisha viporo vya simba ambyo yeye na yanga wana gape la mechi 3 tena wakiongea unaweza dhani ligi zooote zimekwisha je yangekuwa kama ya misri na algeria ingekuwaje? al ahly bado mechi 15 amalize ligi
nashauri viongozi wa yanga kamwe wasije wakaachia hili chaka la lawama kwa karia na tff ,shikilieni hapohapo hata hiyo mitambo ya magoli inayokuja msimu huu ikichemsha(which they will)kamwe msikubali makosa LAWAMA ZIENDE KWA KARIA NA TFFKatika kufuatilia kwako kote ligi yetu kweli ilikosa mda wa kumalizika mpk mda huu?
Na sababu gani haswa ya msingi inayopelekea ligi yetu isiishe mpk sasa?
Karia haimuhusu hili kuna bodi ya league ndio kazi yao sio TFF kupanga ratiba kitu ambacho siungi mkono kuangalia league ya Misri kama kigezo cha sisi kutokuwa bora tujifunze league bora duniani hata kama sio duniani basi Africa hapo SA tu professional league na walikuwa na wawakilishi wengi tu Africa lakini hakuna upuuzi huu tujifunze kwa waliobora sio kukimbilia Misri.tatizo nini?angalia ligi ya misri halafu njoo na utetezi wako
kwa taarifa yako wanaomsema vibaya karia wanakuambia hakuna ligi ambayo haijaisha duniani ni tanzania tu tena huku wakihusisha viporo vya simba ambyo yeye na yanga wana gape la mechi 3 tena wakiongea unaweza dhani ligi zooote zimekwisha je yangekuwa kama ya misri na algeria ingekuwaje? al ahly bado mechi 15 amalize ligi
okay na msiba wa jpm je?kombe la dunia halikuchukua hata siku 10...vipi pyramids mbona wao wamecheza mechi 22 wakati zamaleki ana 26?au kwa sabababu alikuwa shirikisho? simba na namungo wana gap ya mechi ngapi?si 3? mmezidi bwanaa khaAl Ahly walianza na mashindano ya vilabu ya dunia wakati lig yao inaendelea, Simba Kuna kipindi timu inakaa wiki mbili haijacheza Ligi eti unapewa nafasi ya kujiandaa na mechi za kimataifa.
Mbon unasema vitu tofauti na mada huna hoja huna majibu...haijalishi nani bingwa hakuna sababu ya ligi yetu kuwa bado haijaisha mpk sasanashauri viongozi wa yanga kamwe wasije wakaachia hili chaka la lawama kwa karia na tff ,shikilieni hapohapo hata hiyo mitambo ya magoli inayokuja msimu huu ikichemsha(which they will)kamwe msikubali makosa LAWAMA ZIENDE KWA KARIA NA TFF
kama ni ubora wa ligi tangu karia aingie madarakani Tanzania mara mbili imeingiza teams 4 mashindano ya CAf na ipo ranked namba 12 na Caf ni ubora gani mnasemea ?kwa hiyo misri siyo ligi ya kujilinganisha nao?tumewazidi siyo kwamba siyo level yetu?Karia haimuhusu hili kuna bodi ya league ndio kazi yao sio TFF kupanga ratiba kitu ambacho siungi mkono kuangalia league ya Misri kama kigezo cha sisi kutokuwa bora tujifunze league bora duniani hata kama sio duniani basi Africa hapo SA tu professional league na walikuwa na wawakilishi wengi tu Africa lakini hakuna upuuzi huu tujifunze kwa waliobora sio kukimbilia Misri.
nawakumbusha tu hii ligi tayari bingwa ni simba sema haijulikani nani atakuwa wa pili...kuna mitambo ya yanga itaanza kushuka soon na kupokelewa airport ikishaanza kuchemsha karia anatupiwa zigo la maviMbon unasema vitu tofauti na mada huna hoja huna majibu...haijalishi nani bingwa hakuna sababu ya ligi yetu kuwa bado haijaisha mpk sasa
Wakati wa msiba wa rais Magufuli ligi lilisimama zaidi ya siku 23.amabazo ni zaidi ya mechi 4. Katika hizo siku.Katika kufuatilia kwako kote ligi yetu kweli ilikosa mda wa kumalizika mpk mda huu?
Na sababu gani haswa ya msingi inayopelekea ligi yetu isiishe mpk sasa?
kabisa unaona hata zambia msiba wa kaunda wamekataza starehe ila ligi wameruhusu iendelee kwa sharti kwamba goili likifungwa hamna kushangilia maana siku 21 ni nyingi mno mechi kama 4 zilipotea hapoWakati wa msiba wa rais Magufuli ligi lilisimama zaidi ya siku 23.amabazo ni zaidi ya mechi 4. Katika hizo siku.
Yaani kama Karia atasema hiyo ndo sababu ya kutokuisha ligi mpk sasa basi cheo hakimfai kile mtafutieni kazi kama vp mkabeti nae huko..Wakati wa msiba wa rais Magufuli ligi lilisimama zaidi ya siku 23.amabazo ni zaidi ya mechi 4. Katika hizo siku.