Mnanenepa sana wadada

Jamani kila m2 kwa raha zake na starehe zake kama cjalalamika unene wangu unanisumbua wewe tatizo lako ni nn?ila ahsante kwa ushauri,nikizaa pia nibaki vile vile eh?

Kuna mazoezi siku hizi dada yangu unaweza ukaenda gym mara 3 kwa wiki inatosha sana na uki limit chakula unachokula usiku kabla ya kulala na kuweka good timings na vile vile ukapunguza sukari na carbohydrates u will be fine.
 
yaani kwa sasa nipo 72 kg hzi raha mnazotupa tufanyeje sasa

Hawa nao wanatuchanganya sasa, tukikondeana oooooooh mwanamke huna shukurani, ukinenepa pia mashaka. Wengine wanaenda gym kutwa mara tatu lakini bado vipipa kwa kwenda mbele. Hayo ni majaaliwa tu.
 
Kwa jamii zetu waafrika....kunenepa ndo mafanikio !
 
Mwenye kutaka kukonda atafute janaume ambalo, kila wakati linapapasa chupi yake.
 
sawa, lakini hiyo minyama inatakiwa iwe kwenye maeneo stahili tu.. Siyo minyama hadi tumboni, mtambi huo,, lol
minyama ipo kwenye potential area tu mkuu
 

hilo jukumu la kupanga uzazi si mmewakabidhi kina dada, so mkubali na matokeo yanayoambatana na 'miundombinu' ya kupanga uzazi.
 
Kila mtu na raha zake wewe utapenda mnene wengine wembamba basi ilimradi fujo mtaani...
 
Ni bora mwanaume awe na kitambi maana kitampendeza, ila sio mwanamke. Kuna wanawake wengine wanafumuka utadhani...

Da yaani ni bora mwanamke sababu ana nenepa mwili mzima booty,nyonyo,mapaja...
mwanamme akiwa na kitambi anakuwa kama mama mjamzito ni kituko.
 
Tatizo hili ni kwa wanaume mpaka wanawake, wazee kwa vijana. Kuna watu wanakula mchana utadhani hana uhakika wa kula baadaye. Kula kula kula ndo mavitambi hayo!

Mazoezi jamani kwa mji wa Dar yataka moyo. Wengi watu wa kawaida hawawezi kuweka mashine za mazoezi nyumbani. Una chumba kimoja nyumba imejaa ndi hata pa kuruka kamba hakuna. Uswazi mashimo barabarani!
Tabu nyingine foleni ukitoka kazini saa 11 unafika nyumbani saa mbili usiku na unalala unaondoka saa 11 asubuhi. Mazoezi tunayoyazungumzia jamani ni yepi? Na msiseme ya kufanyia chumbani.

Uduni na umasikini wa ki TZ na mazoezi wengi hawawezi. Jamaa mmoja aliamua ku jog mtaani kwako. Barabara mashimoooo. Si akaingia kwenye shimo alianguka na kitambi chake pwaaaa. Zaidi ya hayo MOI wakampokea na kumpa POP. Hajarudia!

Cha muhimu-watch your diet!
 
nani kakudanganya kuwa kuwa wenye vitambi hawana mvuto? Hujajua raha ya kitambi cha binti wewe... Sie wengine ndo ugonjwa wetu huo
 
Ni bora mwanaume awe na kitambi maana kitampendeza, ila sio mwanamke. Kuna wanawake wengine wanafumuka utadhani...

sijawahi kuona kitambi kinapendeza mtu yoyote si mwanaume si mwanamke, vitambi vinaboa
 
Mwanamke kunenepa ni wajibu, after pregrancy, coz we have water retention. Its not easy to loose those extra weight with our current lifestyle. Wale ambao wanaremain vimbaumbau, I will say its genetic but in general eventually a women gain weight. Mtake msitake.
 
Mwanamke mazoezi na balanced diet....sio minyama uzembe kibao....Mfano mzuri Michele Obama...
 
Wananenepa mpaka staili za mwanzoni hawawezi tena........:A S embarassed::A S embarassed:
 
Khaaa! Smile anza kufanya mazoezi... Hzo kg ni nyingi asee!

Unless una mjua,ila kama humjui inategemea na urefu wake.
Yawezekana saivi ndo yuko normal na alipo kuwa kwenye hizo 65 maybe alikuwa na "malnutrition".

Fanya hivi,chukua uzito wako,..say 72kg,...then chukua urefu wako,...say 170cm,...
convert hizo centimetre kwenda kwenye metre.,....(i.e 1.7m)...

then,...chukua weight yako gawa kwa height squared. (i.e weight/(height x height).
Ukipata jibu x<19,...uko na malnutrition.
ukiwa 19<x<26,...uko normal.
ukiwa kati ya 26 na 28 uko overweight.
ukiwa juu ya 28 uko kwenye obersity.

kwa maelezo zaidi google,..."body mass index" utaelewa vizuri.
Am not a doctor,ila niliwahi fundishwa hivo nikiwa form4,...sikumbuki vyema saaaaaana.
 

Kila kitu ukiamua inawezekana.Hata uswazi kuna shule za msingi mabazo zina viwanja na vijana wengi huwa wanafanya mazoezi.halafu wengi wa vijana hawa wana moyo wa upendo ,wakiona mdada au mmama ameenda huwa wanamsaidia.Watanzania tuache vijisababu.......tubadili tabia na tufanye mazoezi yanasaidia sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…